Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Hata hili linahitaji darasa?
Kwa vyovyote vile anayeendesha hiyo gari sio ya kwake.
Hapa umeniwacha hoi. Hii picha ya mwaka!!!
nyie mlitakaje, abebe kichwani? kafanya poa tu, kwani ina roho ?
Je, huyo ni trafic wa Tanzania??
Kama sio, waafrika wenye rangi nyeusi wote ni waswahili??
imepigwa moshi iyo picha
[h=2]Mswahili anapofikiri gari haina limit ya kubeba misigo[/h]
bora punda afe mzigo ufike!
Hata hili linahitaji darasa?
Hatuna utamaduni wa good care and maintenance.