Kwahiyo mkuu hili lina weza kumpa upweke wa ajabu Mwakiembe. Anyway. Ni huzuni kubwa kwa sisi tulio baki kufiwa na huyu mama. Mungu ampe unafuu mbele ya haki. Mwakiembe yeye atajua mwenyewe kwani hata akipata upweke ni jambo zuri tu. Tujifunze kuishi vizuri na watu kwani hatuna mamlaka na mungu. Nyadhifa tunazopewa ni dhamana tu.Ni ngumu sana mkuu. Kuna kaka yangu alifiwa na mke alipokuwa anajifungua miaka ya tisini,mpaka leo hii hakuwahi kuoa na huyo mtoto wake wa mwisho ni binti mkubwa sasa alimaliza UDSM na kuolewa. Amekuwa na upweke wa ajabu baada ya watoto wote kuondoka nyumbani. Maisha ni mtihani....tushukuru kwa kila Jambo .
Mhubir 3:19-21Huyo si Waziri wa Sanaa?
Mhubiri, 9:5,6,10Ni ngumu sana mkuu. Kuna kaka yangu alifiwa na mke alipokuwa anajifungua miaka ya tisini,mpaka leo hii hakuwahi kuoa na huyo mtoto wake wa mwisho ni binti mkubwa sasa alimaliza UDSM na kuolewa. Amekuwa na upweke wa ajabu baada ya watoto wote kuondoka nyumbani. Maisha ni mtihani....tushukuru kwa kila Jambo .
Mhubir 3:19-21Pole Mh. H. Mwakyembe na familia yote kwa ujumla.
Marehemu amemaliza vita yake hapa duniani...hakika anaenda kupumzika katika ufalme wa Mungu mbinguni.
Pumzika kwa Amani mama Mwakyembe. Utakumbukwa Daima kwa unyenyekevu wako na kumcha Mungu.
Mhubir 3:19-21Pole Mh. H. Mwakyembe na familia yote kwa ujumla.
Marehemu amemaliza vita yake hapa duniani...hakika anaenda kupumzika katika ufalme wa Mungu mbinguni.
Pumzika kwa Amani mama Mwakyembe. Utakumbukwa Daima kwa unyenyekevu wako na kumcha Mungu.
Ni ngumu sana mkuu. Kuna kaka yangu alifiwa na mke alipokuwa anajifungua miaka ya tisini,mpaka leo hii hakuwahi kuoa na huyo mtoto wake wa mwisho ni binti mkubwa sasa alimaliza UDSM na kuolewa. Amekuwa na upweke wa ajabu baada ya watoto wote kuondoka nyumbani. Maisha ni mtihani....tushukuru kwa kila Jambo .
Kuwa na staha kidogo tu mkuu.Domo zege au?? Si mmtafutie kipoozeo?? Biblia inasema, akiondoka mwenzio weye uliyebaki umefunguliwa, vuta kitu ingine ndani
Domo zege au?? Si mmtafutie kipoozeo?? Biblia inasema, akiondoka mwenzio weye uliyebaki umefunguliwa, vuta kitu ingine ndani