PICHA: Msiba wa mke wa Dk Mwakyembe

PICHA: Msiba wa mke wa Dk Mwakyembe

Kuondokewa na ulie mzoea nimtihani mkubwa
mwenyezi mungu akupe wepesi Mwakyembe
 
M
Ni ngumu sana mkuu. Kuna kaka yangu alifiwa na mke alipokuwa anajifungua miaka ya tisini,mpaka leo hii hakuwahi kuoa na huyo mtoto wake wa mwisho ni binti mkubwa sasa alimaliza UDSM na kuolewa. Amekuwa na upweke wa ajabu baada ya watoto wote kuondoka nyumbani. Maisha ni mtihani....tushukuru kwa kila Jambo .
Mhubir 3 : 19-21
Mhubir 9 : 5,6,10
 
Ubabe wote na kiburi na jeuri ya Mwamkyembe amelia vile!! Kumbe hata wazee wa michepuko wanaliaa wakifiwa na wake zao? Sasa huwa wanachepuka wazi vile kwa faida gani?? Tunadhania labd nyumba za moto sasa mbona analiaa kama jinga kabisaa!! Kweli umevurugwa Mwakyembe! Punguza ubabe!! Kazi ni dhamana nayo itapita kama uhai!! Any way mwisho pole sana! Usisahau kushukuru kwa yote! Punguza ubabe!!! Unafiki uache pia!!!
 
Back
Top Bottom