PICHA: Msiba wa mke wa Dk Mwakyembe

PICHA: Msiba wa mke wa Dk Mwakyembe

Haya mambo ni vigumu sana kuyaelewa mpaka yakutokee.......nina jirani yangu alifiwa na mkewe sasa mwaka wa tano hayuko sawa, mkewe sasa ni pombee tuuu.....Pole Mwakyembe.....Mungu awatangulie na kuwafariji
 
Pole sana Mhe. Dr. Mwakyembe. Bwana alitoa Bwana ametwaa, jina lake libarikiwe!
 
Pole sana Waziri Mwakyembe. Maisha ni kitu cha ajabu sana. Kuna siku ulikuwa hoi kwa kuugua sumu uliyowekewa....kwa haraka tungefikiri ungekuwa wa kwanza kwenda. Kumbe Mwenyezi Mungu anapangilia vingine.

RIP Linah Mwakyembe

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Pole sana mh mwakyembe... Kifo kisikie tu kwa jirani

Wa kishua
 
Rest in Peace Linah George Mwakyembe.
 
Kwa Mungu kila nafsi itarejea. Nimpe pole mheshimiwa kwa kupoteza mke na pole kwa watoto kwa kupoteza mama. Mimi binafsi mama yangu alifariki kwa ugonjwa huu nikiwa na miaka 4 ila namshukuru Mungu na Mzee wangu kwa kuipigania na kunipa nguvu hadi sasa nina miaka 37+ ila naumia sana nikisikia huu ugonjwa.Mungu tujalie amani na upendo tuishi kwa upendo tukisubiri ule mji udumuyo.Pole kwa wote waliogushwa na msiba huu
 
Pole mheshimiwa Mwakyembe. Jehovah akutie nguvu na kukufuta machozi.
 
Pole kwa familia na ndugu wa marehemu. Raha ya milele umpe ee bwana.
 
Back
Top Bottom