kikwete anahusika na udini wa nchi hiihatari ninayo ihisi
baada ya hapo wataunda jeshi la kiislamu la kusini mwa tanzania
kikwete anahusika na udini wa nchi hiihatari ninayo ihisi
baada ya hapo wataunda jeshi la kiislamu la kusini mwa tanzania
Hiyo ndege wanayo kweli? Hiyo ya kawaida hawana itakuwa hiyoTemu hii lazima serikali itumie denge zisizo na RUBANI
Uislamu na elimu magharibi ni sawa na petroli na maji!kama mikutano ingekuwa inafanyika kutafuta ufumbuzi wa kila mwaka kwanini Mtwara inakuwa ya mwisho kwenye matokeo ya mitihani mi naamini inngewasaidia zaidi kuliko hata hio gesi.
Unyumba siombi natumia. na gesi lazima tuisafirishe Tanzania nzima
msiwaone wengi hivi, wakipewa ubwabwa hawa hamtawasikia tena.
Si wote wavunao wanachopanda,kuna ambao huwa hawavuni kitu kabisa.Upuuzi ni tafsiri yako binafsi,kwangu waweza kuwa ni busara n.kHaya mnayoyashabikia subirini mtavuna mnalolitaka ,Mungu wa Yakobo atuepushe ,hamuelewi hatari mnayoipandikiza katika taifa kushabikia upuuzi unaofanywa .na wanamtwara na kuungwa mkono na akina zitto ,hautakua muda mrefu mtavuna machungu ,,,,,oooooh ole wa kizazi kilichopofuka na kushindwa kuyajua yaliyorohoni ,,,,,mmetegwa na Ibilisi na kuingia kichwakichwa
Kauli za kihaini
Haya bana nimekuelewa.hakuna udini uliongelewa hapa zaidi ya viongozi wa dini kuongelea mambo ya kiuchumi ambayo yatagusa watu wote, wapagani , wakristo , waislamu nk, sawa sawa na cct au tec wanapotoa matamko ya kuwasaidia wa tz wote bila kujali dhehebu au asili ya mtu, haki bin haki