Ha ha ha
Wewe ndio hujui siasa kweli, kwahiyo Bukoba CUF iliondoka kisa kaondoka Lwakatare?? mistake kupata wabunge ndio kila kitu unadhani uliza kuna wenyevit wa mtaa na kijiji wangapi Tanzania Bara nzima second after CCM..upo?
Chadema ni wimbo mpya na kupata wabaunge wengi safari haina maana CUF haitapata chaguzi zijazo? mistake (or rather wishingfull thinking)
Chadema cha cha Wakristo, hakina hata mwenyekiti wa mtaa maeneo ya waislam na zanzibar? wakristo na ukristo mtupu embu angalia wanavyo sema ovyo kuhusu madai ya waislam wa Tanzania na ku-support matamko ya maaskofu..lol (you can't fool people all the time)
CUF siyo chama cha waislam ni chama cha Watanzania wote; Zanzibar, Pemba, Lindi, Bukoba, Dodoma etc.. pia... kipi kigumu hapo kuelewa??