MANGI MASTA
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 175
- 56
Jussa Ladhu - Naibu katibu mkuu Zanzibar
Julius Mtatiro - Naibu katibu mkuu bara akihutubia
Katibu mkuu wa CUF na rais wa kwanza wa serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar mh. Maalim Seif Hamad akihutubia
Umati wa watu ukishangilia
Maalim Seif akisisitiza msikamano kwa wanacuf
Maalim Seif: CUF hapendwi mtu kinapendwa chama na katiba yake
Mh. Katani mgombea ubunge wa Tandahimba - Mtwara
Mbunge wa Lindi mjini Mh. Baruani na Mh. Bimani (Mkurugenzi wa habari CUF Zanzibar) wakionya kuhusu kuasi katiba ya chama
Mzee Khamis Machano makamu mwenyekiti wa CUF taifa
Wanachmam wa CUF wakifuatilia kwa umakini mkubwa hotuba za viongozi wao licha ya jua kali lilokuwa likiwachoma
Haki sawa kwa wote
Maalim Seif alipokuwa akiwasili uwanjani
Viongozi wa kitaifa
Mwenyekiti wa CUF wilaya ya Kinondoni