Travelogue_tz
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 855
- 1,224
Mafiati
Mafiati
wana maana gani, wanamuombea afe, wanamuombea atolewe uanachama au nini, mbona inaonyesha roho mbaya sana jamani hata kama tunatofautiana katika mwelekeo wa kisiasa, ndio uandike "BURIAN SOMEBODY" ambaye bado hajafa, its not fare.
Mkuu kwahiyo leo ni full gongo?
Unaukumbuka wimbo tuliokuwa tunauimba dhidi ya Idd Amin? Ni kama Zitto namuimbia, .....hata akifa hatuwezi kulia tutamtipa kagere akawe chakula cha mamba...wana maana gani, wanamuombea afe, wanamuombea atolewe uanachama au nini, mbona inaonyesha roho mbaya sana jamani hata kama tunatofautiana katika mwelekeo wa kisiasa, ndio uandike "BURIAN SOMEBODY" ambaye bado hajafa, its not fare.
wana maana gani, wanamuombea afe, wanamuombea atolewe uanachama au nini, mbona inaonyesha roho mbaya sana jamani hata kama tunatofautiana katika mwelekeo wa kisiasa, ndio uandike "BURIAN SOMEBODY" ambaye bado hajafa, its not fare.
Mbeya ni nchi, Sugu rais hahahaha watu wa mbeya hakunaga..
Ni yule wa pale Ubungo riverside?Hivi ni Viwanja vya Docta Slaaa jijini mbeya ambapo leo Maandamano yataanzia Mafyati T.i.a kuja viwanja hivi maandamano yataongozwa na katibu mkuu Docta Slaa Msigwa Sugu Mzee wa upako na makamanda wengine wengiView attachment 134435