PICHA: Mkutano wa CHADEMA Mbeya

PICHA: Mkutano wa CHADEMA Mbeya

Status
Not open for further replies.
yule babu kazidisha ngono

Unatumia nn kufikiri ndugu...ata kama hakuna anayekuona apo ulipo jaribu kujiheshimu unatuaibisha watu wa ccm tuonekane na sisi ni wajinga kama ww ficha upum.ba.vu wako na uonyeshe busara zako
 
hivi ndo natoka kiwira naelekea hapo pamoja daima
 
MUNGU AMLINDE RAIS WANGU Dr SLAA 2015 APATE KURA YANGU NA NITAFANYA KAMPENI KWA WAJOMBA ZANGU WAMASAI WAIKATAE CCM NA KUIPA KURA CHADEMA MWAKANI.
 
Mkuu Kamanda wa Kamanda, Avata yako wee acha tu!Nipo hapa uwanjani kuanzia saa tatu asubuhi, jana ilibidi ninunue battery ya kiba kuhakikisha wtz wanahabarishwa kuwa Mbeya ni CHADEMA Pamoa Daima
 
Mkuu Kamanda wa Kamanda, Avata yako wee acha tu!Nipo hapa uwanja kuanzia saa tatu asubuhi, jana ilibidi ninunue battery ya kiba kuhakiisha wtz wanahabarishwa kuwa Mbeya ni CHADEMA Pamoa Daima
 
Dr. Slaa ni kama Zidane jinsi umri unavyoongezeka ndio anavyokuwa jembe.

Tena unajiita Dr. Kweli we mkuu wa misukule, pamoja na elimu yako unaendelea kusapoti gongo na kushindwa kujua madhara take! Duuh!
 
gongo ya mama ako.sijui unafikiri kinyume na maumbile vile.

Mkuu Jembe Afrika, punguza hasira kwa mijitu ya ccm iliyojitoa ufahamu. Umetumia "gongo ya mama yako" kama Mod. angejua maeno hayo kwa lugha ya Kinyiha au Kimalila hapa ungekula Ban.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom