PICHA: Mkutano wa CHADEMA Mbeya

PICHA: Mkutano wa CHADEMA Mbeya

Status
Not open for further replies.
Tunachoju Mbeya iko mpakani na Zambia, Arusha iko mpakani na Kenya na kote huko mmeshuhudia mabadiliko ya majirani zenu hao. Faida ya mageuzi mnaijua ninyi, Tutashukuru mkiwa vinara wa Mageuzi mtukomboe wenzenu tumekaliwa na Magamba yanatumaliza Jamani. Wembe ule ule,
 
Namuona Sugu kavaa jezi ya Mbeya City, Maccm yataanza kulalamika kana kwamba Mbeya city ni yao! Hongereni wana Mbeya, fanyeni kweli
 
Zzk kweli kakosea pakubwa sana..hajaikosea CDM peke yke tu bali watanzania wote, LAKINI tusifike hapo kumwombea kifo. Kama alisaliti cdm kwa ccm basi tumshawish tu ahamie ccm basi.
 
Labda kuna Zitto mwingine huko mitaani, vinginevyo siamini kama CCM imetufikisha hapo
 
Misukule ya buku7 haiwezi kutia miguu hapa....
 
Kamanda tunakushukuru sana kwa kutimiza ahadi yako , hakika wewe ni muaminifu .
 
Peoplesssss

Kuna asikali police alikuwa anamlekodi na kumpiga picha Dr. wa ukweli alipokuwa anatoa hotuba kwa ajili ya kubambikia kasi Dr. Slaa. Wanambeya walitaka kumpa kichapo cha kumgombania kama mpira wa kona, busara za Dr. Slaa zimemuokoa aspigwe na wananchi.
 
Kweli Chadema ni chama makini chenye viongozi makini…hongereni wana Mbeya
 
CCM wajipange, maana CHADEMA wanafanya maamuzi magumu na sahihi lakini wao wanapiga vigelegele tu!
CHADEMA CHADEMA....
People's power..........
 
Kweli Chadema ni chama makini chenye viongozi makini…hongereni wana Mbeya

wajua sasa naamini tangu tanzania imeundwa ilikuwa standby ikiisubili chadema ili ije kuwa mkombozi wetu wa kweli,

viva chadema mwenendo wenu ni mzuri tmewaamini, tnawataraji mtukomboe
 
Hii OPD sasa imekuwa overdose, hembu punguzeni na sisi tupumue kidogo. Lakini ngoja nijipe moyo ya kuwa hicho ninachokiona hapo ni photoshop.
 
Big up Mbeya, Jiji la ukombozi mamboleo, kama Lusaka! Big up Makamanda wa chopa tatu. Moto mkali wa Operesheni Pamoja Daima, unawaunguza mawakala wote wa Operesheni "MM", kila kona ya nchi! Chochea moto, chochea motoooooo!!!!!
 
Kaaaaaatika jina la CHADEMA! shusha fire kwa MAGAMBAAA ...... moooto moto moto moto fire fire fireee unguza magambaaa!!
 
Najaribu kupata picha huko lumumba kuna hali gani,Kila nikimfikiria mzee wa Ndovu naona kama muda sio ataenda kutibiwa south.....presha juu......hongera CDM mnazidi kudhihirisha ubora wenu,mnazidi kutuaminisha hatuhitaji chama mbadala wa CDM kama mpika majungu mmoja alivyosema.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom