PICHA: Mkutano wa CHADEMA Mbeya

PICHA: Mkutano wa CHADEMA Mbeya

Status
Not open for further replies.
Picha za ITV zimeonyesha mh Dr Slaa anahutubia watoto wengi kuliko watu wazima! Nilichogundua ni kwamba watu wengi hawajashuhudia kwa macho jinsi helkopta inavyotu na kupaa, pale watoto wenyewe walikuwa wanamwangalia kama vile amalize upesi ili watoto waone jinsi inavyoruka tena! Pole Dr ndio siasa hizo.
wahi kachukue buk 7 ofisi inafungwa. Afu kuna sehemu nimesoma malaya yeyeto lazima awe na sifa ya uwongo kwanza, maana kila mwanaume utasikia anamwambia mimi sina mwanaumae. Mxcuuu.
 
wahi kachukue buk 7 ofisi inafungwa. Afu kuna sehemu nimesoma malaya yeyeto lazima awe na sifa ya uwongo kwanza, maana kila mwanaume utasikia anamwambia mimi sina mwanaumae. Mxcuuu.
1378528_621377627913562_1439553841_n.jpg
 
Moto mkali wa OPD unawaunguza mawakala wa magamba na mizigo, mpaka wanaweweseka na kulia vilio vya kenge, kama hivi!
 
Tumechoka na hekaya za MASALIA,wewe umefukuzwa nyumba unayoishi hapo NYAKATO MEKO,udiwani wa mahakama unahesabu miezi.
 
Umbea hadi kwenye mitandao! Kwa mtoto wa kiume kama wewe haufai jirekebishe.
 
wahi kachukue buk 7 ofisi inafungwa. Afu kuna sehemu nimesoma malaya yeyeto lazima awe na sifa ya uwongo kwanza, maana kila mwanaume utasikia anamwambia mimi sina mwanaumae. Mxcuuu.
Khaa!!! Kwetu point kamahizi tunaziita PUMBA
 
Kuchanganyikiwa kunapopanda kama maleria ya kichwa ndo unakutana na vitu kama hivi
 
Picha za ITV zimeonyesha mh Dr Slaa anahutubia watoto wengi kuliko watu wazima! Nilichogundua ni kwamba watu wengi hawajashuhudia kwa macho jinsi helkopta inavyotu na kupaa, pale watoto wenyewe walikuwa wanamwangalia kama vile amalize upesi ili watoto waone jinsi inavyoruka tena! Pole Dr ndio siasa hizo.

Aisee......Naona bado hujapata mtu wa kukuhonga usiku wa leo.....Piga moyo konde utapata....
 
Kwa haraka haraka inaonekana unaumia Roho sana kuona OPD inavyorindima kwa kishindo.
 
kwa picha hizi za chadema na wingi wa watu namna hii. inaashilia uchaguzi ujao wazee wa magamba kazi wanayo. pipooooozzzzzz, ......
 
Mzee umri wake kwa sasa ni zaidi mara tano ya umri wa ccm mpaka anachekesha akiwa jukwaani alivyochoka kisiasa.

unachekesha sana wewee.mtu mzima dawa ingawa hauimezi.mnawataka masharobaro kna wazee wa safar.ccm inawachekea chekea tu end of the day mnashtuka madn yashaisha,kla ktu kmeuzwa kias kpo kwao nyny mtabaki mzee mzee unakosa hata ela ya bundle kuinglia jamii forum.wat the hell with ur poor mind??wake up ur stupdy and little sense.CDM is ur rite way to achieve ur developmnt...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom