nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,803
[h=1] [/h]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kiongozi wa juu wa Chama cha ACT Wazaleno Zitto zuberi kabwe akiwahutubia wananchi wa wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, jana wakati wa chama hicho kilipofanya ziara ya siku moja mkoani hapa katika mfulululizo wa kukitambulisha kwa wananchi, hata hivyo Mkutano huo uliweza kuharibiwa na mvua hali iliyosababisha kuhairisha mara kwa mara na wananchi waliweza kuhudhulia kulazimika kukimbia mkutano huo ili kujikinga na mvua.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Baadhi ya wananchi ambao waliweza kuhudhulia katika mkutano huo, ambao uliweza kufanyikia katika uwanja wa wa mpira wa halmashauri ya wilaya ya mji wa baraidi.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kiongozi Mkuu wa Chama cha Alliance for Change and Transparency ACT Wazalendo Zitto Kabwe akiongea na wananchi wa Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu ambapo alisema kuwa vyama vingi vya siasa hapa nchini, vinasumbuliwa na uroho wa Madaraka pamoja na vyeo
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanamziki Mkongwe wa mziki wa bongo fleva nchini Seleman Msindi (Afande Sele) ambaye mwanamuziki huyo alijiunga na chama kipya ACT Wazalendo akiwahutubia wananchi wa mji wa Bariadi waliohudhulia kuwasikiliza viongozi wa chama hicho.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Change and Transparency ACT Wazalendo Anna Mghwira akiongea na wananchi wa mji wa bariadi katika uwanja wa mpira wa halmashauri ya mji wa bariadi jana mkoani Simiyu, wakati walipofika mkoani hapa kwa ajili ya kukitambulisha chama hicho.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Zittp alisema kuwa uroho wa kutaka madaraka pamoja na vyeo kwa baadhi ya wanachama na viongozi ndani ya vyama hivyo, limekuwa tatizo kubwa na kuvifanya kushindwa kupambana kutetea hali za watanzania ambao ni maskini.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afande sele akiwa amembeba mtoto wakati wa mkutano wa chama chake ACT wilaya Baraidi Mkoani Simiyu.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Zitto alibainisha kuwa chama chake kimekuja kubadilisha hali hiyo, kwa kueleza kuwa hakiendeshi mikutanio yake kwa matusi pamoja na kutambiana na badala yake kunawaelezea wananchi ukweli juu ya maisha wanayoishi.
Alisema watanzania wamepata chama ambacho ni mkombozi kwao, kwa kuwataka wananchama wa vyama hivyo ambao wanaona chama chao kinaendesha mikutano kwa matusi kujiunga na ACT.
Alifafanua zaidi kuwa ACT imekuja kuwakomboa watanzania ambao wameendelea kuteseka, kunyanyaswa, na kunyonywa na chama cha Mapinduzi CCM tangu kupata uhuru.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Hata hivyo Kiongozi Mkuu Zitto Kabwe aliweza kufungua ofisi kuu ya Mkoa ya Chama cha ACT iliyoko katika uwanja wa Mpira wa halmashauri ya Mji wa Bariadi.
Simiyu Yetu[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kiongozi wa juu wa Chama cha ACT Wazaleno Zitto zuberi kabwe akiwahutubia wananchi wa wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, jana wakati wa chama hicho kilipofanya ziara ya siku moja mkoani hapa katika mfulululizo wa kukitambulisha kwa wananchi, hata hivyo Mkutano huo uliweza kuharibiwa na mvua hali iliyosababisha kuhairisha mara kwa mara na wananchi waliweza kuhudhulia kulazimika kukimbia mkutano huo ili kujikinga na mvua.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Baadhi ya wananchi ambao waliweza kuhudhulia katika mkutano huo, ambao uliweza kufanyikia katika uwanja wa wa mpira wa halmashauri ya wilaya ya mji wa baraidi.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kiongozi Mkuu wa Chama cha Alliance for Change and Transparency ACT Wazalendo Zitto Kabwe akiongea na wananchi wa Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu ambapo alisema kuwa vyama vingi vya siasa hapa nchini, vinasumbuliwa na uroho wa Madaraka pamoja na vyeo
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwanamziki Mkongwe wa mziki wa bongo fleva nchini Seleman Msindi (Afande Sele) ambaye mwanamuziki huyo alijiunga na chama kipya ACT Wazalendo akiwahutubia wananchi wa mji wa Bariadi waliohudhulia kuwasikiliza viongozi wa chama hicho.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Change and Transparency ACT Wazalendo Anna Mghwira akiongea na wananchi wa mji wa bariadi katika uwanja wa mpira wa halmashauri ya mji wa bariadi jana mkoani Simiyu, wakati walipofika mkoani hapa kwa ajili ya kukitambulisha chama hicho.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Zittp alisema kuwa uroho wa kutaka madaraka pamoja na vyeo kwa baadhi ya wanachama na viongozi ndani ya vyama hivyo, limekuwa tatizo kubwa na kuvifanya kushindwa kupambana kutetea hali za watanzania ambao ni maskini.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Afande sele akiwa amembeba mtoto wakati wa mkutano wa chama chake ACT wilaya Baraidi Mkoani Simiyu.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Zitto alibainisha kuwa chama chake kimekuja kubadilisha hali hiyo, kwa kueleza kuwa hakiendeshi mikutanio yake kwa matusi pamoja na kutambiana na badala yake kunawaelezea wananchi ukweli juu ya maisha wanayoishi.
Alisema watanzania wamepata chama ambacho ni mkombozi kwao, kwa kuwataka wananchama wa vyama hivyo ambao wanaona chama chao kinaendesha mikutano kwa matusi kujiunga na ACT.
Alifafanua zaidi kuwa ACT imekuja kuwakomboa watanzania ambao wameendelea kuteseka, kunyanyaswa, na kunyonywa na chama cha Mapinduzi CCM tangu kupata uhuru.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Hata hivyo Kiongozi Mkuu Zitto Kabwe aliweza kufungua ofisi kuu ya Mkoa ya Chama cha ACT iliyoko katika uwanja wa Mpira wa halmashauri ya Mji wa Bariadi.
Simiyu Yetu[/TD]
[/TR]
[/TABLE]