Aaron JF-Expert Member Nov 18, 2010 3,019 4,693 Oct 18, 2017 #1 Baada ya jana Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa wananchi wataanza kumuona na kusikia sauti ya Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe. Tundu Lissu. Hii hapa picha yake akioneka na yupo hospitalini, jijini Nairobi.
Baada ya jana Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa wananchi wataanza kumuona na kusikia sauti ya Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe. Tundu Lissu. Hii hapa picha yake akioneka na yupo hospitalini, jijini Nairobi.
Lambardi JF-Expert Member Feb 7, 2008 16,509 17,382 Oct 18, 2017 #5 Kweli nimekuwa miongoni mwa wa mwanzo!!! Pole sana kamanda.....Mungu ana nguvu zaidi ya AK 47.....
Mvaa Tai JF-Expert Member Aug 11, 2009 6,159 4,443 Oct 18, 2017 #8 Aaron said: Click to expand... Kweli Mungu ni Mkubwa kuliko Rais wa nchi yeyote ile.
GIUSEPPE JF-Expert Member Dec 31, 2011 5,239 6,196 Oct 18, 2017 #9 Lambardi mbona umeniruka namba yangu?
GIUSEPPE JF-Expert Member Dec 31, 2011 5,239 6,196 Oct 18, 2017 #11 imhotep said: Mbona ana mguu mmoja? Click to expand... Alhamdulilah, whaaaaat? let me look again
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,634 697,916 Oct 18, 2017 #12 Aaron said: Click to expand... Yaliyofungwa na Mungu mwanadamu hawezi kuyafungua
Nleterewa Nganengo JF-Expert Member Oct 11, 2016 5,006 11,309 Oct 18, 2017 #13 Na ashukuriwe Mungu anayemtumikia.
I Insabhunsa Gusa Senior Member May 13, 2011 109 88 Oct 18, 2017 #14 Aaron said: Click to expand... Halelujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhh
Allen Theonest JF-Expert Member Jun 18, 2017 400 491 Oct 18, 2017 #15 Wow wow wow... God exists ! Viva Lissu.... Pole sana kamanda! Tz needs you now more than ever!!!!
Mung Chris JF-Expert Member Sep 12, 2017 3,367 3,778 Oct 18, 2017 #19 Lissu huyo hapo Attachments 22339518_1392950167489538_3255570782084057146_o.jpg 56 KB · Views: 132
Mr Miller JF-Expert Member Jan 24, 2017 11,445 25,727 Oct 18, 2017 #20 jibril beder said: God is good Click to expand... All the time