Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,917
Safi sana, socialize na watu wako
Jua lipi wakati mechi ilianza saa12 jioni!!?Du! Amewaanika wenzake kwenye jua!
Watakuwa ni wazima ndyo maana ameamua kuangalia nao World Cup!mashangaz zake wazma kwel
yuko nyuma ya cm ako we geuza tuuuKati ya waliokaa hao yeye yuko wapi?
Jimboni kwako unaruhusiwa
AiseeAcha kujikomba komba kwa wakubwa
Wewe km sio wa mchinga sijuihalafu jua la mtama bwana weweee sio kuchoma kule bah!!!
Nanjilinji mkuuWewe km sio wa mchinga sijui
Huyo alievaa shati la dark grey.Kati ya waliokaa hao yeye yuko wapi?
Mrembo wewe ni wa kusini?Nanjilinji mkuu
Naam!!!Mrembo wewe ni wa kusini?
Aisee....!Naam!!!
Karibu kusini P,.Aisee....!
Hio P ndio nini?Karibu kusini P,.
Oopps sorry,.nilimaanisha "R"...Hio P ndio nini?