P Payrol JF-Expert Member Feb 17, 2018 2,282 3,077 Jul 18, 2018 #41 Ileje said: Du! Amewaanika wenzake kwenye jua! Click to expand... Ahahahaha aliwanikaje wakt match ilikua inacheza kuanzia SAA kumi na mbili jioni
Ileje said: Du! Amewaanika wenzake kwenye jua! Click to expand... Ahahahaha aliwanikaje wakt match ilikua inacheza kuanzia SAA kumi na mbili jioni
leodigardcyrilo JF-Expert Member May 17, 2015 3,295 1,687 Jul 18, 2018 #42 Hahahahahahahahahahaha nkiota meno ntajua namna ya kuwaumbua wasio kuwa na sifa ya kuongoza
TUJITEGEMEE JF-Expert Member Nov 6, 2010 23,914 23,079 Jul 18, 2018 #44 Akimaliza ubunge hivyo vitu vyote amuachie atayechukua nafasi ya ubunge ya jimbo hilo, siyo kubeba tena!
Akimaliza ubunge hivyo vitu vyote amuachie atayechukua nafasi ya ubunge ya jimbo hilo, siyo kubeba tena!
PAGAN JF-Expert Member Aug 19, 2014 11,231 17,814 Jul 18, 2018 #45 Magufuli kasema CCM itatawala Tanzania milele.