wirewizard1
Senior Member
- Jun 28, 2015
- 160
- 26
Kwasababu ww ni mchepuko...
yaani uyu mama simpendi jamani....cjui kwa nini nimeingiwa na iyo roho....simuoni kabisa akiwa realistik
yaani uyu mama simpendi jamani....cjui kwa nini nimeingiwa na iyo roho....simuoni kabisa akiwa realistik
Mabadilikooooo.......
Malizia kamanda!!
Leo mama yetu kipenzi, Mama Regina Lowassa ameshatua mkoani Ruvuma na atatembelea wilayani lengo kuu likiwa kuwaombea kura wagombea wa UKAWA kuanzia ngazi ya Udiwani mpaka Urais.
Kwa nafasi ya kipekee kabisa kura za Urais anaomba ziende kwa mgombea wa CHADEMA na Umoja wa Ukawa Mhe Edward Ngoyai Lowassa ambaye pia ni mume wake.
Mabadilikoooo....
Malizia kamanda...
Lowassa.
View attachment 299066
View attachment 299067
View attachment 299068
View attachment 299072
Lowasa out!!!!!!!
Tarehe 25 haifiki tu?
Lowasa out again!!!!!!!!
Ujumbe:
".......mtu akikuambia upige kura na ulinde kura ..mwambie mzee njoo tulinde wote..."
Kanali kinana
yaani uyu mama simpendi jamani....cjui kwa nini nimeingiwa na iyo roho....simuoni kabisa akiwa realistik