PICHA: Mapokezi Ya Mama Regina Lowassa SONGEA

PICHA: Mapokezi Ya Mama Regina Lowassa SONGEA

pamoja sana mama mti unaopigwa mawe ndo wenye matunda
 
Mabadilikooooo.......

Malizia kamanda!!


Leo mama yetu kipenzi, Mama Regina Lowassa ameshatua mkoani Ruvuma na atatembelea wilayani lengo kuu likiwa kuwaombea kura wagombea wa UKAWA kuanzia ngazi ya Udiwani mpaka Urais.


Kwa nafasi ya kipekee kabisa kura za Urais anaomba ziende kwa mgombea wa CHADEMA na Umoja wa Ukawa Mhe Edward Ngoyai Lowassa ambaye pia ni mume wake.


Mabadilikoooo....

Malizia kamanda...

Lowassa.



View attachment 299066


View attachment 299067


View attachment 299068


View attachment 299072

hahahaaaahahaahhaha saiv baaada ya babu duni kugoma kufanya kampeni mmeona mumtumiee mama lowasa
 
hahahaaaahahaahhaha saiv baaada ya babu duni kugoma kufanya kampeni mmeona mumtumiee mama lowasa

Yote sawa! Lakini watu si wanajaa kumsikiliza? Cha muhimu tupate kura!

Nyie mnawatumia worthless chickens kina Wema, Sitti, Aunt Ezekieli nk ... Watu wasio na manners zozote, CCM kweli mmefiliska.
 
kama kigezo chako ni bora watu wanajaaaa.....basi sioni sababu ya kuwaita wakina wema worthless mana wao pia wanajaza watu tena watu wengi ikuliko mama lowasa
 
mama lowasa karibu sana songea.naomba usisahau kwenda namtumbo, mbinga na hata nyasa. watu wanahamu sana na mabadiliko...
 
Chakii tutafutane na mimi niko hapa hapa Songea.

mkuu Upo pande zipi? Mimi nipo Bombambili. huku Huyu mama kafanya kufuru ya ajabu. hii nyomi utadhani makoleo ndiyo anahutubia. yaani ni shidaaa. mods plzz fungueni picha nilizopandisha.
 
mkuu Upo pande zipi? Mimi nipo Bombambili. huku Huyu mama kafanya kufuru ya ajabu. hii nyomi utadhani makoleo ndiyo anahutubia. yaani ni shidaaa. mods plzz fungueni picha nilizopandisha.

mkuu alikuwa maeneo gani hapo songea?
 
hahahaaaahahaahhaha saiv baaada ya babu duni kugoma kufanya kampeni mmeona mumtumiee mama lowasa

Babu Duni kagoma????? Mtasubiri sana! Kawaulize wana Kigoma, jinsi jana 14.10, Duni alivyofanya siasa babu kubwa katika Mkoa mzima wa Kigoma, kuanzia Kakonko hadi Ujiji!!!!!!!
 
Mabadilikooooo.......

Malizia kamanda!!


Leo mama yetu kipenzi, Mama Regina Lowassa ameshatua mkoani Ruvuma na atatembelea wilayani lengo kuu likiwa kuwaombea kura wagombea wa UKAWA kuanzia ngazi ya Udiwani mpaka Urais.


Kwa nafasi ya kipekee kabisa kura za Urais anaomba ziende kwa mgombea wa CHADEMA na Umoja wa Ukawa Mhe Edward Ngoyai Lowassa ambaye pia ni mume wake.


Mabadilikoooo....

Malizia kamanda...

Lowassa.



View attachment 299066


View attachment 299067


View attachment 299068


View attachment 299072

Lowasa out!!!!!!
 
Our next First Lady...

We love you sanaaa...👏👏✌✌🙌🙌
 
mama lowasa karibu sana songea.naomba usisahau kwenda namtumbo, mbinga na hata nyasa. watu wanahamu sana na mabadiliko...

mkuu hapitwi mtu. huko kote atapita kamanda wangu
 
Back
Top Bottom