Picha : Mapokezi ya Lowassa Mbeya

watu wengi hawaoni majina yao ya kupiga kura,goli la mkono limeanza
 
'Muheshimiwa' Magufuli hazungumzwi kabisa !!

atazungumzwa rasmi tarehe 2 november 2015 atakavyo apishwa rasmi kuwa rais wa awamu ya tano hivyo nyie wazururaji a.k.a panya road endeleeni tu kuneng'eneka na kujidanganya.
 
Kwa hali hii mgombea wa CCM atakuwa ana Tafauti na chauma
 

ningeshangaa huyu mama wa kichaga asingeipenda chadema / ukawa kwani ndiyo chama chao wa kaskazini ila siyo chama cha watanzania wote kwani watanzania 90% ni ccm tu pekee.
POPOMA una uhakika na "unacho kinena?"
 
Rowasa ni janga kuu la ccm hivi wanapata usingizi kweli au oktoba wameshaamua kutulipuA mabomu
 

ningeshangaa huyu mama wa kichaga asingeipenda chadema / ukawa kwani ndiyo chama chao wa kaskazini ila siyo chama cha watanzania wote kwani watanzania 90% ni ccm tu pekee.


Bas. Mbeya kuna wachaga sana zaid wanyakyusa wasafwa na wakinga kwel wwe kihangira
 
Wana MBEYA kiukweili mnatishaaa. na siku ya kura muende kwa wingi zaid ya hivi
 

ningeshangaa huyu mama wa kichaga asingeipenda chadema / ukawa kwani ndiyo chama chao wa kaskazini ila siyo chama cha watanzania wote kwani watanzania 90% ni ccm tu pekee.


Bas. Mbeya kuna wachaga sana zaid wanyakyusa wasafwa na wakinga kwel wwe think again na ukabira wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…