hakika hakuna anayeweza kuzuia volcano kulipuka!!! Matumaini makubwa ya wananchi
yapo ukawa. Rai yangu, waacheni wananchi waamue na sio kufanyiWa maamuzi na kundi la wachache!
Na hiyo ndiyo demokrasia ya kweli!! Tunataka mabaliko. Period!
ccm wakishinda mwaka huu kwel ntaamini kuwa uchawi. wizi, na miujiza ya mungu wa lumumba na tutaingia kwenye record ya dunia kuwa nchi inayoongoza kwa wizi tena wa kitoto wa kura