Picha : Mapokezi ya Lowassa Mbeya

Picha zingine zinakuja kwa wingi tunaweka mambo sawa
 
hakika hakuna anayeweza kuzuia volcano kulipuka!!! Matumaini makubwa ya wananchi
yapo ukawa. Rai yangu, waacheni wananchi waamue na sio kufanyiWa maamuzi na kundi la wachache!
Na hiyo ndiyo demokrasia ya kweli!! Tunataka mabaliko. Period!
 
lowasa hajapanda hata ndege dar ila huku ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaa...watu nyomiiiiiii
 
Hivi endapo ukawa watashika dola, hiyo red brigade ya CHADEMA ndo itakufa au watakuwa na majukumu gani?
 
ccm wakishinda mwaka huu kwel ntaamini kuwa uchawi. wizi, na miujiza ya mungu wa lumumba na tutaingia kwenye record ya dunia kuwa nchi inayoongoza kwa wizi tena wa kitoto wa kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…