Picha: Mama Regina Lowassa Leo

Picha: Mama Regina Lowassa Leo

Ukweli tuuseme.... huyu mama anamtafutia mzee kura nyingi sana..... jembe sana, utampenda bure na kura za mzee unampa kiulaini....
 
Kwa mara nyingine Taifa linaelekea kupata "First Lady" bora kama Mama Maria Nyerere


Please pleas toha tu kusema Bo kama unaona hivyo ila usimlingih na Mama Maria Nyerere Please!
 
..hilo tabasamu tu...kumchukia huyu mama lazima uwe mental, km yule chizi anayeendesha bodaboda marekani sijui uingereza siku hizi!!

Dr mihogo kapatikana Kwa shangingi atajuta kulijua. Mama mzima km yule kuvaa nyanyapuzo kweli ili aendelee kumchanganya Dr mihogo Kwa sababu ni dhaifu dhaifu km mama kamili alivyosema.
 
Huyo mbibi nae alivo na uchu na u-first lady teh teh teeh......anahangaika anahaha. Wenye U first lady wao wametulia kamyaaaaa!!!! kana kwamba hawana habari na kampeni
 
mama maria nyerere ni level ingine. huwezi kumlinganisha na huyu.

huyu atakuwa anafanana na mmewe. hawezi tofautiana sana na mumewe.

ni kama vile mama maria nyerere alikuwa anaendana na mumewe na huyu pia anaendana na mumewe


sasa angalia mwenyewe. nyerere na lowasa ni mbalimbali kabisa ni kama mbingu na nchi
 
mama maria nyerere ni level ingine. huwezi kumlinganisha na huyu.

huyu atakuwa anafanana na mmewe. hawezi tofautiana sana na mumewe.

ni kama vile mama maria nyerere alikuwa anaendana na mumewe na huyu pia anaendana na mumewe


sasa angalia mwenyewe. nyerere na lowasa ni mbalimbali kabisa ni kama mbingu na nchi

Igeni na hio,ile kampeni yenu ya mama ongea na mwanao imeishia wapi
 
Huyo mbibi nae alivo na uchu na u-first lady teh teh teeh......anahangaika anahaha. Wenye U first lady wao wametulia kamyaaaaa!!!! kana kwamba hawana habari na kampeni

Laiti kama ungalijua yanayoendelea ndani ya nyumba ya JoseMaPombe na mkewe usingethubuthu kusema chochote hapa, ni miaka kadhaa sasa jamaa kaikimbia nyumba yake ya ndoa na kwenda kuishi kwa Kimada na ndo maana yule bibi kaamua kukaa zake pembeni.
 
Kwa mara nyingine Taifa linaelekea kupata "First Lady" bora kama Mama Maria Nyerere

watu kama faiza foxy hawapendi kuona vitu kama ivi watakosa usingizi. Na bahati mbaya age yakee imeena hategemei kuwa first lady bora mie mungu akijalia nautegemea
 
Back
Top Bottom