Picha: Mama Regina Lowassa Leo

Picha: Mama Regina Lowassa Leo

Mungu endelea kumjaalia Hekima huyu mama, nampenda sana!mama Asante kwa kuendelea kumtunza baba yetu na kumfanya mgombea mwenye Hekima!
 
Kiboko ya Josephina

Jozee yuko States anakula Bata na mchumba hela walizopewa na ccm. Kweli Jozee kiboko! Yaani kamuharibia kabisa future mzee wa watu, badala ya jina lake kuingia katika historia kama mwanamapinduzi sasa amekuwa Yuda Iskariote mbele ya jamii.
Watu wa Karatu walikuwa wanatembea kifua mbele wakijitapa wamezaa jembe Leo ukiwauliza mnamfahamu Dr wanasema "ndio nani?" Yote shauri ya Jozee!
 
Wanaomuonea wivu kama Jose wajinyonge. Mama upepo umetulia, sio kama mkemwana wa Msoga ambaye kichwani amejaa errors, hakuna wa kusolve!
 
Safi sana, bado hajawa rais yeye tayari first lady. Mume akiwa rais lazima familia yote wawe viongozi...yale yale!!!!

Mkuu kama ww nimkristo mke na mume wakifunga ndoa nimwili mmoja. Huyo ndomshauli wake pia kwaupande wafamilia. Kama umeoa naukamtenga mkeo si vzr sis tunaita ubaguzi.
 
Jozee yuko States anakula Bata na mchumba hela walizopewa na ccm. Kweli Jozee kiboko! Yaani kamuharibia kabisa future mzee wa watu, badala ya jina lake kuingia katika historia kama mwanamapinduzi sasa amekuwa Yuda Iskariote mbele ya jamii.
Watu wa Karatu walikuwa wanatembea kifua mbele wakijitapa wamezaa jembe Leo ukiwauliza mnamfahamu Dr wanasema "ndio nani?" Yote shauri ya Jozee!

Wako watatu na Mzee Mwanakijiji
 
hamna namna,Lowassa atangulie Ikulu asap-kura zitamfuata hukohuko ikulu-Huyu mama anafaa hata kuwa waziri,ana akili kubwazzz kuliko akina Membe na Wasira
 
Wako watatu na Mzee Mwanakijiji

Hivi hizi hela wanazogawa ccm kwa fujo namna hii isijekuwa ni zile za maviroba ya Stanbic! Maana kama watu miscellenious kama Aunt Ezekiel anaweza kupewa 50 m kiwango sawa na mwl aliyestaafu baada ya kutumika miaka 30 ujue hazina uchungu wala budget toka kwa mtoaji.
 
..hilo tabasamu tu...kumchukia huyu mama lazima uwe mental, km yule chizi anayeendesha bodaboda marekani sijui uingereza siku hizi!!
Kwa tabasamu, ucheshi wake na actions zake namfananisha na Hillary Clinton.
 
Back
Top Bottom