Picha: Mama Regina Lowassa Leo

Picha: Mama Regina Lowassa Leo

Laiti kama ungalijua yanayoendelea ndani ya nyumba ya JoseMaPombe na mkewe usingethubuthu kusema chochote hapa, ni miaka kadhaa sasa jamaa kaikimbia nyumba yake ya ndoa na kwenda kuishi kwa Kimada na ndo maana yule bibi kaamua kukaa zake pembeni.

Duuuu ni hatari sasa....
 
Anafaa sana.
Hv ingekuwaje km angekuwa Josefii? Tungeona lile tukutuku kubwa kitaani au...
 
Hata km hausapoti chama hyu mama yuko poa sana na nazan yuko ivyo naturaly coz toka miaka ya 1998 alikuwa anajichanganya na kujitoa sana church kwetu
 
Mama Regina.... i pray always uwe our FIRST LADY..wewe ni MAMA HASWAAAA

We feel so proud kwako...MUNGU AKULINDE DAIMA...

Tukipata FIRST LADY wa HIVI hata RAIS anawaza vizuri na kushughulikia matatizo mengi ya wananchi...!!!

Aiseeeeee, anamsaidia mumewe.... daaah...!!!

Kweli kuna wanawake WANAJITAMBUA MNOOO...!!!



Hivi MKE wa MAGUFULI YUKOJE.... ni mweupe, mzungu, mchina, mweusi, chotara, mfupi mrefu, nimesikia ni Mwalimu ila hajui kabisa maisha, pia nasikia WANA MGOGORO hawaivi...

REGINA ni MAMA WA WATANZANIA wote...!!!
 
Yule mama wa kijani anayerudi uticha,daah,sijamwona siku nyingi... Yupo?
 
aiseee kwnye ukweli acha tuseme huyo mama anafaa kuingia ikulu apo akuna ubishi.
 
Back
Top Bottom