Yaani hata kama Lowasa hawi rais huyu mama lazima awe First Lady.
Sijawahi kuona kamanda kama huyu mama haroooooo
Yani kaingia kwenye chama juzi tu na amecoup kama alikuwapo miaka yoooote
huyu mama ni drive force behind LOWASSA
NAFIKIRI LOWASSA alitumia consultant wazoefu wa masuala ya family kumpata