yaani hata ujichanganye uzuri wako wewe na jina lako hauufikii hata robo ya lips za first lady wetu mama ELhuyu mama nae kihelehele utafikiri na yy ni mgombea mwenza, atulie nyumbani alee watoto amwache mroho wa kupiga ma deal akoge maji alovulia nguo.
Wewe kaa na hilo zee lako unaloliita mke huko nyumbani mwache firstlady apige kampeni kwani anakidhi viwango vyote vya kuitwa mke na wala sio hiyo scrapper yako uliyookota kwenye madanguroEbu acheni ujinga uzuri kwa mumewe we unakusaidia nini,mnakua km mibwabwa,au mipunga nyie?
Hivo hivo ulivoelewa wewe