N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 561
Mungu ambariki huyu mama na hazidi kumpa hekima katika kazi zake za kila siku
JANA alikua hapa ifakara kina mama walifurika mnoooo ilipendeza sana tukamwombea kwa MUNGU afike salama iringa
Ulitakiwa kufikiri vizuri kabla ya kuropoka, Salma Rashid Kikwete alimfanyia mumewe kampeni katika kipindi cha pili cha utawala wa JK. Alikuwa akifanya kampeni akitokea ikulu, akitumia magari na walinzi wa serikali na alikuwa anapokelewa kila alipokwenda na viongozi wa serikali! Hii ndiyo watu walipigia kelele! Ni tofauti kabisa na Mama Reg Lowassa anavyofanya sasa,yeye anatokea nyumbani kwake,kwa gharama zake mwenyewe, walinzi wake mwenyewe na anapokelewa na wanachama na wapenzi wa mumewe.
Huelewi ni wakati gani mtu nakuwa na sifa ya "kwa maslahi ya umma au kiongozi wa umma". Kwani vyama vya siasa havitumii rasilimali za walipa kodi wa Tanzania? Hivi nyie watu huko shule mlienda kusomea nini, Ujinga au? simply huelewi na uko mtupu kichwani upo kwa kufuata mkumbo tu.
Katika vitu ukawa wanajisahau ni Kutoa Elimu ya kupigia kura maana kuna watu wana hasira ila hawajawahi.kupiga kura
Ccm wanafanya hivyo ila sisi hatutoi Elimu
mussa allanmagufuli ana mke kweli??
Viva UKAWA Viva LOWASSA.
Kiswahili chenyewe hujui ndio utaweza kujua ujinga wa mtu wewe kweli? Kwa ushauri mtafute FaizaFoxy ili akufundishe kiswahili.Hujinga huu unaoandika ndiyo mwisho wa elimu yako? yani nyeusi na nyeupe kwenu zote zinafanana? Hovyo kabisa!
Anao, tena mwingine yuko kijijini. Huyu wa mjini alipogundua kuna mwingine bush, kasusa.Magufuli ana mke kweli??
Inategemea na neno mke unamaanisha nini.
huyu Mama ni mzuri hana binti aliye single