PICHA: Makamba hizi si kampeni za urais

PICHA: Makamba hizi si kampeni za urais

Makamba yupo upande wa Lowasa izo pesa za bodaboda katoa Lowassa. Lakini kwa upande wangu sikuona kama hii biashara ya bodaboda inalipa hapa kwa kweli ccm wanatuletea maafa mengine. Sanasana wanaleta vifo kwa vijana na wizi. Kwani kuwa na bodaboda lazima unatakiwa ununue mafuta,insurance na zinazoingizwa kwa kasi nina uhakika upatikanaji wa wateja itakuwa mgumu ivyo matokeo yake italeta wizi na ugomvi wa kila mara. Ni vizuri ccm wangewatafutia vijana ajira nyingine kuliko viongozi wa ccm kuwadanganya vijana kwa bodaboda
 
Makamba yupo upande wa Lowasa izo pesa za bodaboda katoa Lowassa. Lakini kwa upande wangu sikuona kama hii biashara ya bodaboda inalipa hapa kwa kweli hapa ccm wanatuletea maafa mengine. Sanasana wanaleta vifo kwa vijana na wizi. Kwani kuwa na bodaboda lazima unatakiwa ununue mafuta,insurance na service. Zinavyoingizwa kwa kasi nina uhakika upatikanaji kwa wateja itakuwa mgumu ivyo matokeo yake italeta wizi na ugomvi wa kila mara kwa vijana. Ni vizuri ccm wangewatafutia vijana ajira nyingine kuliko viongozi wa ccm kuwadanganya vijana na bodaboda. Ila sio mbaya angalau wanarudisha pesa walizoiba kwa njia nyingine. Kwasababu ni lazima ujiulize kwa naibu waziri anatoa/ananunua bodaboda 1700 izo pesa amezitoa wapi kwasababu mshahara wake na posho zinajulikana pigia hesabu ya kulisha familia yake na bills zake za kila siku je anao uwezo wa kuwa na izo pesa kama sio rushwa. Kwani hatujawai kusikia kuwa ni pesa kutoka serikalini kwa kama ni serikali bajeti inajulikana toka bungeni. Vijana vhukieni bodaboda ila kila moja na akili yake mmenyanyaswa vya kutosha. Leo wamekuja kwa bodaboda sera fulana, tishert na wali inaanza kupitwa na wakati
 
hivi hawa boda boda kwa mwezi wanapata shs ngapi? manake hawalipi kodi wakati wengine kipato chao kinawazidi waalimu! sio haki hata kidogo. Kila mtu alipe kodi stahiki. Pili hawana nidhamu barabarani wanawafanyia fujo walipa kodi wenye magari
 
Watanzania wengi wanapenda sana vya bure. Na kwa vile CCM wanajua sana hilo, na wana uwezo wa kutoa vya bure, usishangae kampeini zikaenda vivyo hivyo na bodaboda wote wakatumika kutoa kura kama kawa.
 
mimi nintampa kura yule anayenifanya niende chooni,sasa km unanipigia porojo mwisho wa siku naona unapaa na elkopta kwanza ukiwa umeninyang`anya mia tano yangu , alafu mimi ikifika jioni naenda kulala njaa na watoto unadhani nitakuelewa kweliiiiiiiiiiiiiii

walipima wakajua lazima watavuna walafi aina hii
lakini tujiulize hivi ni sera ya kitaifa ama ni mkakati wa mtu kuwasaidia bodaboda wa mwanza tu!
wakati monduli hata boda boda za kukodi tu ni shida! na hata huko lushoto hakuna kitu kama hichi haya yote ni kuwinda kura za upotoshaji badae mjilipe madini
 
January Makamba hakuna anaekubeza umefanya jambo kubwa lakini huku mtaani watu wanasema wewe bado mwanafunzi uko kwenye Mafunzo,
Na ngoma ya watoto haikeshi.
 
Tumeingia kwenye biashara ya urais.

Hatari sana.

Hakuna wenye mapenzi na nchi
 
Naibu wizara ya Sayansi na Teknolojia,na huku bima ya Afya!Mbona sikuelewi Makamba?Ungekuwa naibu waziri wa Afya sawa au hata uchukuzi na usafirishaji,lakini Sayansi na teknolojia Makamba?Na kile kikao cha Wachungaji(viongozi wa dini) juzi usiku?Husijali kijana,tutakukumbuka 2015,ila hela hizo unazotumia unazitoa wapi??????!

Anazitoa kwenye tozo ya simu alizozipigania mpaka zikapita. Fisadi huyu.
 
walipima wakajua lazima watavuna walafi aina hii
lakini tujiulize hivi ni sera ya kitaifa ama ni mkakati wa mtu kuwasaidia bodaboda wa mwanza tu!
wakati monduli hata boda boda za kukodi tu ni shida! na hata huko lushoto hakuna kitu kama hichi haya yote ni kuwinda kura za upotoshaji badae mjilipe madini

Wameanzia MWANZA, nikatika kampeni tokomeza ya CDM. wakitoka hapo wanaenda ktk miji mingine yenye ngome za CDM.
 
hivi hawa boda boda kwa mwezi wanapata shs ngapi? manake hawalipi kodi wakati wengine kipato chao kinawazidi waalimu! sio haki hata kidogo. Kila mtu alipe kodi stahiki. Pili hawana nidhamu barabarani wanawafanyia fujo walipa kodi wenye magari

UNAFIKIRI NI KWANINI WALIFUTA KODI ZA CUSTOM KWA BODABODA..... Jibu ni kwamba waliproject kuwa watazihitzji katika kununulia KURA, Jr Makamba na EL ndo wameanza kutekeleza mkakati huo kabambe... haya yataendelea nchi nzima na hasa katka miji yenye upinzani zaidi. MIKAKATI YAO NI.....'SPOIL ROADS WITH PKPK, SPOIL PEOPLE WITH PKPK' ni taarifa tu hiyo.
 
Kweli ccm,wanatudharau sis watanzania
kwa stail hii wataiwaita had wachumba zetu wakawafungulie migahawa

loading..............
 
Hivi huyu bwana mamvi yeye kaona makanisani,misikitini na boda boda ndiyo wa kuwahonga pesa ili kuupata urais? Kama wananchi watampa hata robo ya kura za urais hakika nitaamini TZ kuwa kichwa cha mwenda wa zimu. Hata siku moja hakiwezi kuelewa somo. Pia kama huyu makatani hataenda kuwahonga tanga hizo pesa,basi akienda huko wampige mawe.
 
Hii TZ yetu inadhalilishwa kupita kiasi, hivi kuwa mwandishi wa hotuba za Rais ndo kunakufanya uvimbe kichwa kihasi hiki eti unaweza kuingoza TZ. kumbe hata mwanafunzi anayewaandikia wanafunzi wenzake notisi ubaoni anaweza kuwa mwalimu!!!! Huu ni upuuzi uliopitiliza . TZ amka.

Ila aliyewahi wa kasisi ndio anafaa sana kuwa Rais wa Tz?
 
NAIBU wa Waziri wa Wizara ya Sayansi na Teknolojia January Makamba ametaka ujio wake Jiji la Mwanza usihusishwe na Kampeni za chini kwa chini za Urais bali ni kutekeleza ombi la Umoja wa waendesha pikipiki Mkoa wa Mwanza kuwasaidia kupata Bima ya Afya baada ya kuwawezesha kupata pikipiki 1745 za FEKON na si vinginevyo.

Kauli hiyo ya Makamba ameitoa leo wakati wa kufungua kongamano kubwa la siku moja la Umoja wa Madereva wa pikipiki Mwanza lililofanyika katika uwanja wa michezo wa Nyamagana Jijini hapa, alisema kwamba kuna baadhi ya watu wameanza kuhoji ujio wangu Mwanza “Niko hapa kwa ajili ya shughuli hii mliyonialika bali kuja kushiriki Kampeni muhimu ya Bima ya Afya kwa ajili ya Usalama wa badae” na si vinginevyo.

Makamba amesema kwamba upatikanaji wa Leseni kwa urahisi na uharaka usiwe tiketi ya Kifo kwa wananchi.View attachment 129062View attachment 129063View attachment 129064View attachment 129065

Huyo yupo hana, na hakatizi kwa Dr. Slaa.
 
mimi nintampa kura yule anayenifanya niende chooni,sasa km unanipigia porojo mwisho wa siku naona unapaa na elkopta kwanza ukiwa umeninyang`anya mia tano yangu , alafu mimi ikifika jioni naenda kulala njaa na watoto unadhani nitakuelewa kweliiiiiiiiiiiiiii

Mtegemea cha nduguye,.........sembuse kutegemea cha mwana siasa lazima ufe masikini.katika siasa chagua mtu makini na mwenye nia ya kukuletea maendeleo.of all the people ufikirie makamba,Jr anaweza kuwa Rais dah inabidi nishangae tu.umasikini una kazi
 
Kama kweli ametumwa na lowasa,basi mkakati huo unatekelezwa vibaya.makamba akiongea na viongozi wa dini jana yake aliwapigia debe vijana kuwa wasibezwe kwa kuwa eti hawana uzoefu.
Lowasa si kijana na mbaya zaidi mvi zinamfanya aonekane mzee zaidi ya dk.slaa
 
Back
Top Bottom