watu hawajasoma mchezo,hapo mamvi kaamua yeye achukue urais wa muungano makamba anagombea Tanganyika...zinduka,chadema has to make new plan baada ya kumtupa zittokama ametumwa na mamvi je utasemaje?
watu hawajasoma mchezo,hapo mamvi kaamua yeye achukue urais wa muungano makamba anagombea Tanganyika...zinduka,chadema has to make new plan baada ya kumtupa zittokama ametumwa na mamvi je utasemaje?
Hiyo pesa ya kuwanunulia bodaboda imetoka wapi? Amka, acha kuwa msukuleKipi bora kati ya viroba na bodaboda?
Urais wa nchi hii makamba jr atausikia kwenye bomba tu..............
utafanywa vibaya wewe.mimi nintampa kura yule anayenifanya niende chooni,sasa km unanipigia porojo mwisho wa siku naona unapaa na elkopta kwanza ukiwa umeninyang`anya mia tano yangu , alafu mimi ikifika jioni naenda kulala njaa na watoto unadhani nitakuelewa kweliiiiiiiiiiiiiii
Ni kweli kabisa, kanda ya Ziwa ni muhimu mno kuamua Rais wa nchi hii, idadi ya wapiga kura ni kubwa mno kanda hii.Kuna kitu watu wengi hawakielewi. Makamba Jr ni kambi ya Lowasa. Kinachofanyika sasa ni mkakati maalum. Hiyo inaitwa divide and rule. Mwisho wa siku anajitoa na kumuunga mkono EL. Makamba kakabidhiwa kanda ya ziwa. Hii ni kanda muhimu sana kimkakati. Mark my words, time will tell.
Naona magamba wameamua kuwatumia bodaboda kama mtaji kuelekea 2015. Wengine mnapaswa kujipanga, kuwa wabunifu, na kuvunja bond hii haramu na ya ulaghai inayotaka kutengenezwa na hawa jamaa kwa maslahi binafsi na ya kilaghai.
Kazi ipo kweli... urais unakuwa utumwa kwa vijana wetu.
Bodaboda amkeni mjitambue.
mimi nintampa kura yule anayenifanya niende chooni,sasa km unanipigia porojo mwisho wa siku naona unapaa na elkopta kwanza ukiwa umeninyang`anya mia tano yangu , alafu mimi ikifika jioni naenda kulala njaa na watoto unadhani nitakuelewa kweliiiiiiiiiiiiiii
kama ametumwa na mamvi je utasemaje?
NAIBU wa Waziri wa Wizara ya Sayansi na Teknolojia January Makamba ametaka ujio wake Jiji la Mwanza usihusishwe na Kampeni za chini kwa chini za Urais bali ni kutekeleza ombi la Umoja wa waendesha pikipiki Mkoa wa Mwanza kuwasaidia kupata Bima ya Afya
Nimefurahi sana jamani hawa madereva bodaboda wanahitaji bima ya afya.Makamba hongera kwa kuwasaidia ni vyema uzunguke nchi nzima uwasaidie.Wodi za majeruhi zimejaa madereva boda boda nchi nzima bima za Afya zitawasaidia kuwanusuru maisha yao.
Kwa hili nakupongeza sana endelea kwenye mikoa yote ukiweza iwe wamekuomba au la nenda kawasaidie.
Hivi kwani Makamba kahamishiwa wizara ya Afya?Kwa nini yeye?
Hawatumiki vibaya ila wanajua kula za wajinga. Hata wewe ukienda kesho mradi uwape chochote wataandamana na wewe. Wewe unafikiri wanafanya kazi hiyo bure? Boda boda ni wajanja wanajua kutumia fursa. Kesho Lowassa akitia timu hapo wanaye kama kawa! Viongozi wa dini nao ni wajanja wanajua namna ya kuzipata za wanaounyemelea urais. Kila mwenye harambee sasa hivi lazima amwalike EL na Makamba. Wewe hujiulizi kwanini hawamwaliki Nape au Magufuli? Wameshawajua wanaomwaga fesha kwa lengo la kujitangaza na kutafuta kuungwa mkono na viongozi wa dini.Hawa bodaboda wanatumika vibaya
Kama BABU anavyousikilizia bombani.