T-1000
Senior Member
- Feb 21, 2011
- 144
- 42
mimi nintampa kura yule anayenifanya niende chooni,sasa km unanipigia porojo mwisho wa siku naona unapaa na elkopta kwanza ukiwa umeninyang`anya mia tano yangu , alafu mimi ikifika jioni naenda kulala njaa na watoto unadhani nitakuelewa kweliiiiiiiiiiiiiii
Pole sana, yaani mpaka leo hujaamka na kustuka tu, umeeona mia tano na kusahau kodi zote unazokatwa katika kila kitu hata kwenda choon unakatwa kodi