Kiongozi ulikuwa unataka kusema nini hapo? Binafsi sijakuelewa kabisaTanzania sasa kuuza mbaazi India kwa wingi kadiri mtavyoweza hadi 2025.
Baada ya mfumo wa kuzoom kutamaradi hiyo picha sasa sijaelewa na haieleweki!.
Huyo aliye na January Makamba ni waziri wa biashara wa India Piyush Goyal.
View attachment 2914882
Tanzania sasa kuuza mbaazi India kwa wingi kadiri mtavyoweza hadi 2025.
Baada ya mfumo wa kuzoom kutamaradi hiyo picha sasa sijaelewa na haieleweki!.
Huyo aliye na January Makamba ni waziri wa biashara wa India Piyush Goyal.
View attachment 2914882
BeberuKiongozi ulikuwa unataka kusema nini hapo? Binafsi sijakuelewa kabisa
Angalia vizuri hiyo picha ni mwanga tu umefanya huo mguu mwingine usionekane ila angalia vizuri tu, miguu yote ipo hakuna editing hapo ni issue ya mwangaBeberu
Makorokoro Bondeni
makaveli10
King Kong III
Inaonekana baadhi yenu si wajuzi wa kuchunguza picha, angalia uhalisia wa hiyo picha kwa eneo ilipozungushwa duala.
Miguu ya huyo mhindi ilipoishia, kwenye picha nyingine ni amevaa zile gauni zao fupi (nyeusi) na pajama (nyeupe) ila hapo kwenye picha miguu imekatwa kuna kitu hakipo sawa au ni editing.
Angalia vizuri kwa ku zoom mguu wake wa kushoto ulikosa mwanga na sakafu inafanana rangi na huo mguu baada ya kupata kivuliBeberu
Makorokoro Bondeni
makaveli10
King Kong III
Inaonekana baadhi yenu si wajuzi wa kuchunguza picha, angalia uhalisia wa hiyo picha kwa eneo ilipozungushwa duala.
Miguu ya huyo mhindi ilipoishia, kwenye picha nyingine ni amevaa zile gauni zao fupi (nyeusi) na pajama (nyeupe) ila hapo kwenye picha miguu imekatwa kuna kitu hakipo sawa au ni editing.
Ungeelezea tafsiri yako. Hiyo ya nguo kukatwa au kuishia ni style ya fundi,Beberu
Makorokoro Bondeni
makaveli10
King Kong III
Inaonekana baadhi yenu si wajuzi wa kuchunguza picha, angalia uhalisia wa hiyo picha kwa eneo ilipozungushwa duala.
Miguu ya huyo mhindi ilipoishia, kwenye picha nyingine ni amevaa zile gauni zao fupi (nyeusi) na pajama (nyeupe) ila hapo kwenye picha miguu imekatwa kuna kitu hakipo sawa au ni editing.
Hamna kitu kama hicho chief kwamba mwanga uafifishe na kupoteza nguo ya image wkt wa kupiga picha, sina hakika kwa hilo.Angalia vizuri kwa ku zoom mguu wake wa kushoto ulikosa mwanga na sakafu inafanana rangi na huo mguu baada ya kupata kivuli