Picha: Maeneo mbalimbali ya Jiji la Mbeya

Picha: Maeneo mbalimbali ya Jiji la Mbeya

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
5,900
Reaction score
11,794
Najua kuna watu wanatamani kuona mandhari ya jiji la Mbeya lakini ukizisaka mitandaoni unaona kuna very limited number of photos na nyingi ni za zamani
Sasa ngoja nikuoneshe picha mbalimbali ujionee mandhari ya baadhi ya maeneo ya Mbeya.
Japo sijapiga picha za mjini au Kabwe/Mwanjelwa, hizi zimejaa Google
Nimeleta ambazo ni ngumu kuzipata Google
Picha zipo chini kwenye comments 👇👇

Picha hizi hapa wakuu zilikuwa zinagoma ku upload. Samahanini kwa usumbufu 😅😅
Nitaendelea kuzipost chini kwenye uzi huu
PXL_20251225_171134770.jpg
PXL_20251225_171153390.jpg
PXL_20251225_171305624.jpg
PXL_20251225_171923044.jpg
PXL_20251225_172538227.jpg
PXL_20251225_172702543.jpg
 
Bila kupaona mafiati utakua haujautendea haki uzi
 
Pandisha Hadi isanga naona upo uzunguni mkuu
Isanga, Mafiati na maeneo mengine sijababahatika kwenda kupiga picha
Ila next week nikiwa free nitaenda kupiga picha nitazileta humu
Hapo nimepost sio za Uzunguni tu, hadi za Forest na maeneo ya uwanja wa Sokoine na barabara ya kuelekea Chunya kule
 
20251119_144847.jpg

Hii picha nilipiga baada ya kutua kwa dharura juu ya jengo la hotel gani sijui hivi ya ghorofa karibu stendi,mbeya nilipata matatizo na usafiri wangu wa ungo nikatua hapo
 
Back
Top Bottom