Mungu hamtupi mja wake. Sio wale wenye kuabudu mienge. Isaya 50:11
Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge, enendeni ninyi katika mwali wa moto wenu,na katikati ya mienge mliyoiwasha . Mtapata haya kwa mkono wangu, mtalala kwa huzuni.