PICHA: Lipumba alivyofunika Tabora jana

PICHA: Lipumba alivyofunika Tabora jana

Mbona Lipumba anakuuma sana!! nasikia hajaoa..unaweza kubahatika endelea kumpigania!

umeshindwa hoja!! Umeamua kujifarij kwa matusi! ....ngoja nione nini kinafuata baada ya matusi yako.....,hamkawiagi kusema mmetumiwa SMS za vitisho!!
 
umeshindwa hoja!! Umeamua kujifarij kwa matusi! ....ngoja nione nini kinafuata baada ya matusi yako.....,hamkawiagi kusema mmetumiwa SMS za vitisho!!

Hoja ni kwamba CUF ni kama kilabu tu si chama cha siasa kwakuwa lipumba anakiendeshabila weledi wowote! Sawa?
 
1. Hizo picha zimepigwa kisanii ili watu waonekane wengi. Ukitaka kuona umati ni mkubwa kiasi gani lazima upate Perspective View na sio picha iliyopigwa kwa angle ndogo.

2. Tabora ndio sehemu pekee Lipumba anaweza kupata hao watu 350. Ambao kati ya hao, 200 ni wa CCM wanaokuja kutoa ushirikiano kwa chama mke chao, na 150 ni wa CUF wenyewe, yaani makabwela

3. CHADEMA haigawi fedha watu wahudhurie mkutano, wala CDM haibebi watu na coaster kuwapeleka mikutanoni mikoani. Huko kutakuwa kujidanganya kama wanavyojidanganya CUF



4. Nikukumbushe kuwa, kwenye Uchaguzi mdogo wa Igunga, CUF walipata 2% na hiyo ndio TASWIRA ya CUF kitaifa, kwa hiyo usijisumbue kulinganisha na CDM. Kama hapo hapo kwenye mkoa wenu mlipigwa bao, sasa sijui kwingineko mnataraji nini.

5. CDM sio chama cha KISULTANI. Mwaka 2015 CUF ikimsimamisha tena Lipumba mtakuwa mnaithibitishia dunia kuwa chama kina upungufu wa watu wenye akili timamu kwa hiyo Lipumba hana mbadala.

6. Sabodo angeweza kuwapa fedha CUF pia. Lakini ukumbuke kuwa Sabodo hatoi sadaka kama wahindi wa Jay Ambe. Sabodo anatoa fedha kwa malengo ya kuleta mabadiliko kwa hiyo CUF haiwezi kupata kwa kuwa haina impact nje ya msikiti[/QUOT

Unaitwa mtoka pabaya, jina lako na akili yako sawasawa kabisa

Kaweken mkutano pemba halafu muweke picha hapa tuone!!

Nyie chongeni lakini Prof Lipumba anafanya kweli
 
Mkuu usipate nao tabu Cdm nape alishasema kinyago wamekichonga wenyewe hakiwezi kuwatisha kikwete alikuwa hatakiwi na Mfumo wakatoa walaka vigango vyote vikahamasishana kumpigia kula slaa jakaya Ndio anamaliza atasimama mgombea Wa ccm anaekubalika na Mfumo kula za chadema zitarudi ccm hata igunga ilikuwa hivyo kumkomoa kikwete hata hui jeuri Yao bungeni Mfumo unawabeba Ndio maana hawataki time Huru ya Uchaguzi washazoea kubebwa na mfumo
 
Wekeni tume. Huru kisha vitambulisho vya taifa Ndio vitumike kupiga kula huwezi kununua hapo mtaauona mziki Wa Lipumba mzigo mzigo mpe mnyamwezi sio slaa alieanguka chooni
 
Mkuu usipate nao tabu Cdm nape alishasema kinyago wamekichonga wenyewe hakiwezi kuwatisha kikwete alikuwa hatakiwi na Mfumo wakatoa walaka vigango vyote vikahamasishana kumpigia kula slaa jakaya Ndio anamaliza atasimama mgombea Wa ccm anaekubalika na Mfumo kula za chadema zitarudi ccm hata igunga ilikuwa hivyo kumkomoa kikwete hata hui jeuri Yao bungeni Mfumo unawabeba Ndio maana hawataki time Huru ya Uchaguzi washazoea kubebwa na mfumo

Cuf msimpe wakati mgumu mzee wetu Lipumba kukiuza chama, haya maelezo ya mfumo huu mfumo ule ndo yanayowaharibu mwisho watu wanafikia mahali wana conclude kwamba siasa ziko Ccm na Chadema tu..
Siku chache zilizopita pale dar buguruni nilihudhuria mkutano wa Cuf ukweli nilisikitishwa make hotuba ya mwongeaji mkuu ambaye niliambiwa ni kiongozi wa juu wa vijana wa Cuf ilisikitisha, ukweli ni kwamba ni kama robo ya tatu ya anayoongea kanakili toka kwa bw Ilunga, muda mwingi anazungumzia mifumo, ilikuwa vigumu kutofautisha mhadhara na mkutano wa kisiasa hata japo katika jopo kulikuwepo na mchungaji
 
Hata mimi nilikuwepo siku Hiyo Yule kijana huwa anasoma jigrafia ya eneo anaeleza ukweli hata nasari alisema alipokuwa milimani mnataka kujitenga jibu hoja hituba nikweli au uongo maneno ya Yule kiongozi ubaguzi UPo au we bepari
 
Vibaraghashia huwa ni vingi sana kwenye mikutano ya CUF
vibaraghashia ndio vilileta uhuru,mpaka Nyerer pia alivikubali na yeye akatafuta chake akawa anavaa,ongopa sana wavaaji wa hivyo vitu,ni wapenda maendeleo.lakini yakishapatikana,wanatupwa nje ya mfumo.
 
vibaraghashia ndio vilileta uhuru,mpaka Nyerer pia alivikubali na yeye akatafuta chake akawa anavaa,ongopa sana wavaaji wa hivyo vitu,ni wapenda maendeleo.lakini yakishapatikana,wanatupwa nje ya mfumo.


moja ya mikoa.maskin sana isiyo hata na elimu ni hii iliyojaa watu wa namna hiyo.mi nmesoma mkoa wa pwan.wazaz hawatak watoto wao wasome.wanawaoza wakiwa wadogo na sana sana wanataka wakasome elimu ahera.sasa hapo ndo panapotengeneza jamii ya watu wanaojifeel inferior...wao hulalamika tu na kutumiwa na watu wenye kuelewa kuwa jamii hii haina elimu au uwezo mzur wa kufikiri.hayo ni matatizo ambayo kama msipokuwa makin mtabak kugombea kuchinja na kutaka rais muislam maybe awabebe lakin haisidii.mbona kuna waislam wenye upeo mzur tu na uelewa wa kutosha hawafany propaganda?
 
Mwambie aende rumumba ktk ofisi ya ccm picha ya waasisi Wa tanu wamevaa hadi kanzu someone history chadema bungeni hoja zenu ni udini je tusemeje unamnyoshea mwenzio kidole wakati vinne vinakuelekea wewe slaa ni padri ,msigwa mchungaji consider
 
Kanati ya kutunuku Ndio inaamua nani aende nani arudi mikoa ya pwani inashughulikiwa hivyo ndalichako Ndio maana kigoma malima aliliona Hilo akaweka namba Mkamtoa wizarani km elimu ahera Ndio kinachofetisha Zito mbona anatisha na amepitia tendeni haki dr shein amesoma koran Jibuni hoja kwa niñi mikoa ya pwani mmeifanya masikini mnainyanyua katavi sasa wakati kisarawe Ndio wilaya ya mwanzo imekuwa ya mwisho kimaendeleo hata rami Hakuna Wala Umeme dhuluma haidumu au Ndio mnatimiza ule msemo bara itakuwa pwani na pwani itakuwa bara
 
Unaitwa mtoka pabaya, jina lako na akili yako sawasawa kabisa

Kaweken mkutano pemba halafu muweke picha hapa tuone!!

Nyie chongeni lakini Prof Lipumba anafanya kweli

Tunamjadili Lipumba na sio Mwana Mtoka Pabaya. Mimi sio saizi yako wewe acha ulimbukeni. Nimekwambia hiyo picha imepigwa kisanii, kanusha kama si kweli na sio kunijadili.

Mimi naijadili hivi hoja yako:
1. Hiyo picha ni sawa na bosheni. Kuna wale wanaoponda kopo la kupimia mkaa kwenye botom yake ili wewe ukiona pomoni ujue ni mwingi kumbe unaibiwa. Ndio sawa na hiyo picha.

2. Kitendo cha kubeba watu na kwenda nao Arusha au Morogoro kuhudhuria mkutano ni utaahira. Kama ulikuwa na haja ya kuwahutubia hao watu ungewahutubia hapo hapo Buguruni wanakoishi. Hiyo ni sawa na bosheni ya mateja kukalia siti za daladala linalojaza kwa foleni ili abiria akija aone gari inakaribia kujaa.

3. Pemba tunakuja wala usihofu. Kama tumekifunika chama chako hapo hapo alipozaliwa Sultani wenu, hata alikozaliwa Sultani wa Zanzibar (Maalim) nako tutafanya hivyo hivyo. Labda nikukumbushe dalili za mazishi ya CUF

UZINI:
CCM - Mohammed Raza 5377
CDM - Ally Mbaruku Mshimba 281
CUF - Salma Hussein Zaral 223

IGUNGA:

CCM - Dalali Kafumuka 26,484 [pamoja na njama na wizi]
CDM - Kashindye 23,260
CUF - Leopold Mahona 2,104 [pamoja na kwamba ni home ya chama]

Sasa we chonga mdomo weeeeee, lkn ujue taratiiibu mnakufa.
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na KAUJANJA alikotumia mpiga picha lkn ukweli utabaki hapakuwa na wananchi wa kutosha hapo! Hata mkutano wa kijiji/mtaa ukihudhuriwa wa wananchi wachache hivyo sheria inatamka UHAIRISHWE.Mashaka yangu kwa maudhurio hafifu hivyo napata shida kuamini huyu Mh. hata akigombea udiwani sijui kama anaweza kushinda haki ya Mungu!!!
 
Ongeza maombi na makemeo huenda vikapungua, Umeskia Ndugu zako mbeya Wamemzika akiwa Hai katekista Mstaaf kwa Kukithiri Ulozi na Uchawi kijijini?

Mkuu sasa hayo ya Mbeya na kuzikana hai kunahusiana nini na ishu za mikutano/mkutano wa CUF?
 
mbona hata wakat waukombozi wa Tanganyika zilikuepo nyingi tuu!!,.......chuki tu + roho mbaya
Onyesha chuki moja tu kwenye sentensi yangu ya Vibaraghashia. Nikuchukie au niwachukie kwa kipi mlichonizidi/mlichotuzidi? Shirikisha ubongo dogo...
 
Back
Top Bottom