sasa unatushauri nini mwenzako yupo sehemu ya tukio na katuma picha wewe unabisha na hauko kwenye tukio watanzania mpoje?
PROF Lipumba akiwahutubia maelfu ya wananchi Tabora jana.
![]()
======
![]()
View attachment 91956
View attachment 91947 View attachment 91955
Wote walioko hapo ni wafuasi wa CCM walikuja kumpa support mtu wao
Vibaraghashia huwa ni vingi sana kwenye mikutano ya CUF
haha inajitisha yenyeweKumbe CUF bado inatisha!
Vibaraghashia huwa ni vingi sana kwenye mikutano ya CUF
Hivyo ndivyo ilivyo. Na mkakati wao mmoja-: kuzigawa kura za cdm 2015 but they won't make it.
Tulinganishe na hii hapa ya uzinduzi wa Kanda wa CHADEMA! Lipumba Ameiua cuf, halafu eti huko ndo alikozaliwa!
Hivyo ndivyo ilivyo. Na mkakati wao mmoja-: kuzigawa kura za cdm 2015 but they won't make it.
Laiti tv zingekuwa hazina upendereo Lipumba anatisha na hapo Ndio makabwela wanachangishana kufanikisha mikutano Hongera Lipumba hapo kada Wa ccm sabodo anaewapa pesa chadema WANa Siri gani na ccm
PROF Lipumba akiwahutubia maelfu ya wananchi Tabora jana.
![]()
======
![]()
View attachment 91956
View attachment 91947 View attachment 91955