Averos
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 994
- 703
ccm b siyo mbaya kabisa
kama rozari katika mikutano yetu ya M4C
ccm b siyo mbaya kabisa
haha inajitisha yenyewe
Aliongea nini cha maana.?
Sometimes Lipumba anafanyaga mambo ya kijinga!
Mara afadhiriwe na CCM, mara aongee kama mtu huru kweli! ah! Ameiua CUF sasa!
kama ilivo CCM kila baada ya neno mawili alikuwa akiitaja chadema. uyu si ni bi mbinuko wa magamba
Tulinganishe na hii hapa ya uzinduzi wa Kanda wa CHADEMA! Lipumba Ameiua cuf, halafu eti huko ndo alikozaliwa!
Anae fadhiliwa na CCM ni CHADEMA acha umbulula wewe!!, hivi kada wa ccm SABODO angikuwa anaisaidia CUF ingikuaje...kusoma hujui hata picha huoni.
nyie chongeni lakini Prof LIPUMBA anafanya kweli!!
Mbona watokwa povu weye!!!
Lipumba huwa ananunuliwa bwana!! Hivi wewe kweli uanaona zina mtosha!!
...Unachanganya suala la michango ya Sobodo hapa! Yeye huwa anasema kabisa CCM imemchosha anatamani CDM iongoze nchi..na humalizia kwa kusema " I am very proud of you Dr Slaa!!"
Lipumba anafahdiliwa na mafisadi wa CCM kina JK , Lowassa na waovu wengine wa magamba!!
Mbona watokwa povu weye!!!
Lipumba huwa ananunuliwa bwana!! Hivi wewe kweli uanaona zina mtosha!!
...Unachanganya suala la michango ya Sobodo hapa! Yeye huwa anasema kabisa CCM imemchosha anatamani CDM iongoze nchi..na humalizia kwa kusema " I am very proud of you Dr Slaa!!"
Lipumba anafahdiliwa na mafisadi wa CCM kina JK , Lowassa na waovu wengine wa magamba!!
Vp na wewe JK alikutumia sms au ulitumiwa na mkuu wa mkoa?.......naona unaropoka tu!!
weee mbulula kweli, Dr Slaa akiwa na bandage ktk mkono basi ujue kaanguka chooni,....... lakini Prof Lipumba akiwa na bandage katika mkono basi ujue kipigo kutoka kwa polisi kwa kudai katiba mpya!!, mwenye akili timam atajivunia nani awe kiongozi wake!!
nyie chongeni lakini Prof LIPUMBA anafanya kweli
Vibaraghashia huwa ni vingi sana kwenye mikutano ya CUF
Kwa sifa na uwezo anao prf.LIPUMBA ,tatizo ni mzuka wa wengi,Hitler alipita kwa kura za wengi lkn walijuta,ZAMBIA CHILUBA(mlokole) alikuwa anahutubia mpaka analia,watu nyomi,lkn akawa dikteta,aliiba pesa na kuweka nje lkn mwishowe alizisalimisha serekalini,lkn mpaka anakufa alikuwa anakabiliwa na kesi za madawa ya kuleva.tuwe makini tupunguze jazba.
Laiti tv zingekuwa hazina upendereo Lipumba anatisha na hapo Ndio makabwela wanachangishana kufanikisha mikutano Hongera Lipumba hapo kada Wa ccm sabodo anaewapa pesa chadema WANa Siri gani na ccm
Umenikumbusha mbaaaaaaaaaaaali sana,nimemkumbuka bingwa wa kuanguka adharani majukwaani.DHAIFUweee mbulula kweli, Dr Slaa akiwa na bandage ktk mkono basi ujue kaanguka chooni,....... lakini Prof Lipumba akiwa na bandage katika mkono basi ujue kipigo kutoka kwa polisi kwa kudai katiba mpya!!, mwenye akili timam atajivunia nani awe kiongozi wake!! nyie chongeni lakini Prof LIPUMBA anafanya kweli