Sasa si zama zao zimepita mkuu...Ishu kama aliyepo madarakani.Mfano wapande pamoja Rais,Makamu na Waziri MkuuKosa kubwa sana. Hivi (Mungu epusha) dege likapata ajali juu, inakuaje?
Ni unachukulia poa ila kila mtu katika idara ya mipango upeande wa mipango ya safari ya hawa watu itakuwa matatizoni, na kama taifa tutaonekana wajinga sana. Imagine magazeti ya mbele yanaandika hivi:Sasa si zama zao zimepita mkuu...Ishu kama aliyepo madarakani.Mfano wapande pamoja Rais,Makamu na Waziri Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ikipata ajali we itakuhusu nini? Mbona walipopanda walalahoi wa kawaida zaidi uliitoa kauli hii?Wahusika walitakiwa waliangalie hili
Na bado ile animation ya madagascar wakaigiza vile vile,ila wenyewe rubani alidondosha perfume inaitwa love potion no.9Kila nasikia habari za hii dreamliner nakumbuka movie ya God Must be Crazy na kile kichupa cha coca cola walichookota bush man!
Hapo wakipanda wote kama mimi ni al habib nasema tu allahu akbar,halafu mnakuja kuchunguza mabawaSasa si zama zao zimepita mkuu...Ishu kama aliyepo madarakani.Mfano wapande pamoja Rais,Makamu na Waziri Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wao wawe makini hizi jamaa anaweza kuwategeaKosa kubwa sana. Hivi (Mungu epusha) dege likapata ajali juu, inakuaje?
Kosa kubwa sana. Hivi (Mungu epusha) dege likapata ajali juu, inakuaje?
Hizi akili za mtu mwenye degreeOk marais wastaafu wameshuka ndani ya deamliner, ni nini kimeongezeka ktk maisha yako kwa siku ya leo.dreamliner imekusaidiaje ktk maisha yako na ya mtanzania wa kawaida.
Je dawa za kutosha zipo,cement ipo,madaftari yapo, na mengine mengi yapo!?
Ha ha ha hebu kuwa serious.najiuliza kama wamelipa nauli
lini tunaanza route za nje?
Hakuna lolote la ziada tofauti na wahanga wengine raia wa kawaida.Kosa kubwa sana. Hivi (Mungu epusha) dege likapata ajali juu, inakuaje?
Kodi ......!!najiuliza kama wamelipa nauli
lini tunaanza route za nje?