Desert Voice
Senior Member
- Feb 26, 2018
- 160
- 410
Mbowe safiiiiiiii....Hapa kazi tu
Magufuli oyeeeee
Uliwapa wewe??
Ndege huwa hazidondokiKosa kubwa sana. Hivi (Mungu epusha) dege likapata ajali juu, inakuaje?
Mbona nyie watumishi mkisafiri MNALIPIWA NAULI? Iwe ya bus,train, meli hata aeroplane?Ujue tu hao wamelipiwa nauli kwa kutumia kodi yako.
Hawawezi kuishi milele.Kosa kubwa sana. Hivi (Mungu epusha) dege likapata ajali juu, inakuaje?
Mwenyezi Mungu akiwahitaji popote watakapokuwa watamfuata tu.Kweli, basi tumshukuru Mwenyezi Mungu wametua salama
Kasome mishahara ya viongozi kwenye Hoja mchanganyiko.haipo kwenye sheria ya stahiki za viongozi wastaafu
ni binafsi hiyo
ninajua hiyo sheria ya mafao ya wastafu,hakuna sehemu ya kupanda ndege ya shirika bure
Kutakuwa na hasara gani kwa taifa? Leo wanaleta faida gani kwa wananchi katikati ya madhila haya? Watu wengine bana.Kosa kubwa sana. Hivi (Mungu epusha) dege likapata ajali juu, inakuaje?