Picha: Kwa uzembe kabisa Serikali isivyojali mitambo yake!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,313
24,171
1600785651630.png

1600785774519.png

Huu mtambo upo Bunju kando kando ya barabara ya Bagamoyo.
Umeharibika na umekuwa hapo karibu mwezi mmoja sasa.
Kabla ya hapo ulikuwa pale Mbezi Goig na pale vile vile ulikaa barabarani mwezi mmoja..
Huu ndo umakini wa idara za serikali-naamini huu ni mtambo wa Halmashauri fulani hapa Dar es salaam.
Magufuli baba kuna mtu anaomba kutumbuliwa, rudi DSM!

NB
Mtambo huu ukiwa mpya bei yake Tshs 400million.
UPDATE
Mtambo bado upo, mwezi na nusu sasa hapo.
1601812059967.jpeg

 
Uzembe huu upo Tanzania nzima. Tatizo ni Magufuli mwenyewe kuyaweka yote ya mitambo kimababe chini ya TAMESA isiyokuwa na uwezo. JPM aondoke zake Oktoba 28, 2020 Hatufai.
Mkuu huu mtambo si wa TEMESA, ni wa Halmashauri hapa jijini.
 
Sisi ni wepesi kununua kwakuwa tunapata 10% baada ya hapo ni ku damp na kutazama fursa zingine za kupiga
Naweza amini hili.Mtambo huo unaonekana ni mpya lakini umechakaa kwa kukosa uangalizi.
Hakuna mtu binafsi anaweza fanya uzembe huo.
 
Mkuu huu mtambo si wa TEMESA, ni wa Halmashauri hapa jijini.

Mkuu, utaratibu wa Magufuli nchi nzima ni kuwa mitambo yote ya Serikali ikiwemo Serikali za mitaa kama Halmashauri inatengenezwa na TAMESA kwa kugharamiwa na Halmashauri husika. Hapo ndipo tatizo linapoanzia. Kuna urasimu mkubwa sana TAMESA na ukosefu wa utaalamu husika. Matokeo yake mitambo mingi hutelekezwa mahali inapoharibikia iwe barabarani au garage.
 
Mkuu, utaratibu wa Magufuli nchi nzima ni kuwa mitambo yote ya Serikali ikiwemo Serikali za mitaa kama Halmashauri inatengenezwa na TAMESA kwa kugharamiwa na Halmashauri husika. Hapo ndipo tatizo linapoanzia. Kuna urasimu mkubwa sana TAMESA na ukosefu wa utaalamu husika. Matokeo yake mitambo mingi hutelekezwa mahali inapoharibikia iwe barabarani au garage.
Kweli hali hii inasikitisha.
Mtambo huu ukiwa mpya bei yake si chini ya $175,000 (zaidi ya 400million) pale Agent wao Hyundai Vingunguti.
Halafu mtambo unachakaa barabarani.
Inasikitisha.
 
Mkuu, utaratibu wa Magufuli nchi nzima ni kuwa mitambo yote ya Serikali ikiwemo Serikali za mitaa kama Halmashauri inatengenezwa na TAMESA kwa kugharamiwa na Halmashauri husika. Hapo ndipo tatizo linapoanzia. Kuna urasimu mkubwa sana TAMESA na ukosefu wa utaalamu husika. Matokeo yake mitambo mingi hutelekezwa mahali inapoharibikia iwe barabarani au garage.
Serikali ya kipigaji
 
Mkuu,, umejuaje kuwa huu mtambo ni wa serikali (halmashauri)?!

Kwani una namba ya SM (serikali ya manispaa) au SU (shirika la Umma)?!

Maana bila uthibitisho huo au nembo ya halmashauri hatuwezi kuwa na hakika kama ni kweli hii wheel hydraulic excavator ni Mali ya serikali au kampuni binafsi.
Huo mtambo ni wa Halmashauri.
Huu mtambo una kama miaka mitano na iliuzwa n Hyunda EA, Branch yao iko pale Vingunguti.
Nikipita tena hapo bado upo nitapiga picha details za plate no.
For sure hakuna mfanyabiashara mzembe ataacha mtambo kama huo barabarani.
 
Huo mtambo ni wa Halmashauri.
Huu mtambo una kama miaka mitano na iliuzwa n Hyunda EA, Branch yao iko pale Vingunguti.
Nikipita tena hapo bado upo nitapiga picha details za plate no.
For sure hakuna mfanyabiashara mzembe ataacha mtambo kama huo barabarani.


Okey, kama una uhakika kwahilo sawa huo ni uzembe wa halmashauri husika!

*lapili kuhusu kuwa hakuna mfanyabiashara mzembe anayeweza kuuacha mtambo wake barabarani, sio kweli wapo mkuu,,

Mimi ni Operator wa plant, (heavy duty machines) pamoja na hii hydraulic excavator, pia motor grader, loader, compact roller, na crane! Nimefanyakazi kwenye kampuni nyingi , wazembe wapo kaka, juzi pale mbezi salasala, karibu na mizani (jkt) pale mbuyuni, kuna kampuni binafsi iliacha mtambo wake wa motor grader karibu week!

Wazembe wapo kila sehemu mkuu,,, acha tu!
 
Huo mtambo ni wa Halmashauri.
Huu mtambo una kama miaka mitano na iliuzwa n Hyunda EA, Branch yao iko pale Vingunguti.
Nikipita tena hapo bado upo nitapiga picha details za plate no.
For sure hakuna mfanyabiashara mzembe ataacha mtambo kama huo barabarani.
Kuna mungine uko huku njia panda ya tegeta A ukitokea Goba njia nne kwenda madale. Upo hapo tangu june
 
Okey, kama una uhakika kwahilo sawa huo ni uzembe wa halmashauri husika!

*lapili kuhusu kuwa hakuna mfanyabiashara mzembe anayeweza kuuacha mtambo wake barabarani, sio kweli wapo mkuu,,

Mimi ni Operator wa plant, (heavy duty machines) pamoja na hii hydraulic excavator, pia motor grader, loader, compact roller, na crane! Nimefanyakazi kwenye kampuni nyingi , wazembe wapo kaka, juzi pale mbezi salasala, karibu na mizani (jkt) pale mbuyuni, kuna kampuni binafsi iliacha mtambo wake wa motor grader karibu week!

Wazembe wapo kila sehemu mkuu,,, acha tu!
Nakubaliana mkuu, mitambo hii ni gharama kubwa sana.
Kuitelekeza ni uzembe mkubwa.
 
Back
Top Bottom