T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,934
Nilikuwa nadhani mwanamuqawana kutoka Uajemi ni ustaadhi ana kitambi alafu anavaa kanzu 24/7 na age kuanzia 45+. Kumbe niliingia chaka
Kuna shahidi anauza mbele? Aaah Kaskazini shikamooni maana sheikh wetu anaupiga mwingiSawa tukutane pale Rau madukani kwa yule shahidi muuza mbege
Mwenye ndinga yake anajua kama unatambia jf?
Rangi ambayo haijalingana kote. Hapa mweupe, hapa mweusi. Sijui nikuelezeaje.Rangi gani hua ni mbaya?
Stand ipi hiiWachaga kwa ulevi mnatishaView attachment 2003275View attachment 2003276
Wapi, RAU MADUKANI?Karibuni nami napata kitu cha mbege December hii lazima kieleweke yaani mwaka huu ni balaa
Wacha tunywe mpaka tufurahi
Karibuni tupate kitu cha mbege napenda mno asili yanguView attachment 2003265
Hahahahaha Aisee sijui nilikua wapi kukuona huu Uzi wa muajemi mweusi kutoka machame,
Bwasheee umetisha Sasa mbona umekaa kama peace maker ila nyuma ya keyboard una choko choko Kwa wazayuni?
Anyway Ngoja kina Netanyahu wa Namtumbo waje!