DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Ok kila mmoja anaona kwa mtizamo wake ni kama wachina kuchinja mbuzi kwao ni taboo lakini mbwa kwao ni sawa mbuzi kwetu,nasi mbwa ni taboo, mbuzi kwetu pembeni ya bia chakula ya wazee.kiukweli picha inatoa tafsiri zaidi ya moja.
Je,umeiyona taf Naomba radhi kama nitakua nimekosea.
Ukweli nikiiangalia kwa umakini picha ya hapo juu,napata tafsiri ya kutaka kumfananisha na ndugu zangu wale walio imbwa na dada yetu lady jjide (wanaume kama ma.....) kazia na zile suit alizo ongwa.
Ufahamu wangu kwa Rais huyu ni mtu wa Pwani na vidole kwake viko hivo kama watu wote wa pwani wanaume kwa wanawake mpaka kesho vidole vyake uwa vina muonekano wake.,....nilifaidi kujua vidole vyake vina manjonjo pale msaniii Stev Nyerere alipo muigiza kama Mr Presedent...Na mara zote anapoigiza basi uweke matashiti ambayo uongeza moja ya IDENTITY kuwa huyu ni Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Huko uliko mpeleka siko ndugu yangu.....eheeee ,.....umeingia choo cha kikee.Mzee wetu huyo anadegree hataree sana ukulasa wa KIUMENI manake kwanza sura tu dada zako washazimia wawe ni wakimanga, kisomali, na wabantu wenzie...na alipo ana shule ya watoto damu yake yani kama ni UANAUME sekta hiyo Mzee wetu huyu aliutendea haki, na wanaomjua wanasema anaendelea kuutendea haki.
Kama una dada au binamu mweupe wa haja nywele za kimanga tabasamu la kumtoa nyoka pangoni akikutana na nae mbali ya ile ya kuwa mkuu basi matashititi yake na sera za kiumeni,tu mpwa au dadayako atakuwa ashazimia mbaya .....wao wenyewe uwa wanazimika wanasema anaweza kumhandle mrembo wa kiwango chochote...chezea mambo ya saigoni na oysterbay mess enzi hizo...nimefanya kuhadithiwa nikiunganisa na dot basi uko NAMPA MIA ,,,manake kwa mwanaume yoyote sekta hiyo ndio SIFA zetu...ukikosa uko basi UJAWA KIDUME.Sasa huyu ni weka mbali na rangi nyeuoe, nywele za singa na sura mviringo...utaumia.