PICHA: Katibu wa BAKWATA mkoa wa Arusha aliyejeruhiwa kwa BOMU

Jamani naomba kuuliza kwa mliopo Arusha navyojua Bomu ni mlipuko je nyumba ya huyo shehk ipo salama au imeungua? na kama alikuwa amelala je mlipuko haukushika kwenye Godolo? kama kila kitu kipo salama isipokuwa yeye unahitajika uchunguzi wa kina.
 
DSCN6193.JPG


Mbona kama makopo ya perfume au naona vibaya.
 
Hao watakuwa wafuasi wa ponda waliotaka kumpindua mufti si bure!maskini tanzania,nasikia uamsho wanapanga kwenda kuchukua mafunzo somalia!

somalia watakaa wapi? wakenya wameibinafsisha nchi yote. hawataki kuona alshabab,alqaida, na uamsho wakirejea tena.labda waende msitu wa pande.
 
haya tena Udini Udini Udini.. Huyu mtu kweli kalipuliwa na Bomu kwa sababu ni katibu wa Bakwata au ni kipigo tu baada ya kufumaniwa?

Basi kama ni kufumaniwa sasa hivi Tanzania tumefika mbali, hadi kufumaniana tunabeba mabomu! Namshauri kama siyo kafumaniwa aokoke haraka maana tayari huko siku zake zahesabiwa! Yesu anakupenda Shekhe hata kama wenzako hawakupendi Yesu anakupenda sana, karibu...maana huku hakuna jino kwa jino, mlipa kisasi ni Mungu mwenyewe:welcome::welcome:
 
Pole sana katibu wa bakwata. Lakini niko nashanga hao wataalamu wa usalama (polisi kamanda wa mkoa na RCO) mbona wamekamata mabaki ya mabomu kwa mikono wazi? Ina maana uchunguzi wa finger print umemalizika? Kama haujamalizika si ukifanyika watagundulika kuwa wao ndio wahusika? Tanzania bwana, we acha tu. Professional anafanya kama siyo professiona, na asiye professional anafanya kiprofessional. Je na huyu mkuu wa mkoa Magessa Mulugo ni ndugu yake na Naibu Waziri wa Elimu Mulugo au vipi?
 
haya tena Udini Udini Udini.. Huyu mtu kweli kalipuliwa na Bomu kwa sababu ni katibu wa Bakwata au ni kipigo tu baada ya kufumaniwa?

kheeee inamaana alikuwa anajisevia mali ya mwengine? duu kazi kweli kweli..

Get well soon shekh kweli mke wa mtu sumu..
 
download+(9).jpg

Katibu wa bakwata Mkoa wa Arusha Bw. Abdulkarimu Jonjo akiugulia maumivu katika wodi ya majeruhi ,katika hospitali ya mkoa mount Meru baada ya kulipuliwa na bomu la kutupwa na mkono akiwa amelala usingizini nyumbani kwake na watu wasiofahamika majira ya saa 6.30 usiku wa kuamkia leo. Picha na Josefu Ngilisho.

Picha na Michuzi Blog



THURSDAY, OCTOBER 25, 2012




DSCN6189.JPG


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Magessa Mulugo akimjulia hali na kumpa pole Katibu wa BAKWATA mkoa wa Arusha Bw. Abdulkarim Jonjo anayeuguza majeraha aliyoyapata baada ya kutupiwa bomu nyumbani kwake usiku wa kuamkia leo eneo la mtaa wa kanisani kata ya Sokoni jijini Arusha.
DSCN6193.JPG

Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha, Afande Liberatus Sabas akiangalia maganda yanayosadikiwa kuwa ya hilo bomu lililotipiwa dirishani katika nyumba ya Katibu wa BAKWATA wa mkoa huo usiku wa kuamkia leo
DSCN6196.JPG

Dirisha lilikotupiwa hilo bomu.

Picha zote na Mahmoud Ahmad

tumefika hapa, si kwa kuwa tumependa, ila tumelazimishwa
 
Mimi nitofautiane na mawazo ya wengi, ingekuwa hilo bomu alitupiwa toka dirishani lingemsambaratisha zaidi.
Kwa mawazo yangu alikuwa nalo ndani akalishika vibaya likamlipukia. Hebu vyombo vya usalama na intelijensia wamhoji vizuri, na kufanya upelelezi wa kina.
Huenda akaisaidia polisi kutueleza alikolipata hilo bomu, na alikuwa nalo kwa ajili ya nini?
Haya ni mawazo yangu binafsi
 
Leo ijumaa nadhani hawa maamuma watamalizana ili litimie agizo la kumtoa ponda toka Segerea.
 
hata polisiccm wetu hamnazo hivi kabsaa bomu linaweza kumwacha mtu akiwa mrembo namna hiyo? Labda ni utambi wanaotumia wavuvi kuvulia vibua pale ferry lkn si ile kitu inayotengenezwa kwa TNT yaani tungekuwa tunaulizana tu pale esso km ni uwanja wa mpira au battle field maana pangekuwa tambarale
 
Back
Top Bottom