haya nayo sasa makubwa!! Kama tumefikia hapa inatisha yafaa hatua za ziada za usalama zichukuliwe zaidi.
haya tena Udini Udini Udini.. Huyu mtu kweli kalipuliwa na Bomu kwa sababu ni katibu wa Bakwata au kafumaniwa?
Pole sana shekhe,kwa yote yaliyokupata wewe na nyumba yako. Naomba uwasamehe bure kama Stephano alivyowaombea msamaha kwa MMwenyenzi Mungu wauaji wake; wakati wanamuua kwa kumpiga kwa mawe kama kumwua nyoka au paka mwizi !Katibu wa bakwata Mkoa wa Arusha Bw. Abdulkarimu Jonjo akiugulia maumivu katika wodi ya majeruhi ,katika hospitali ya mkoa mount Meru baada ya kulipuliwa na bomu la kutupwa na mkono akiwa amelala usingizini nyumbani kwake na watu wasiofahamika majira ya saa 6.30 usiku wa kuamkia leo. Picha na Josefu Ngilisho. Picha na Michuzi Blog
Alaaah kumbe hujui kilichotokea?Alifumaniwa, eti?
Pole Sheikh.
Kwanini wamekuumiza hawa wafuasi wako?
Alaaah kumbe hujui kilichotokea?
Katibu wa bakwata Mkoa wa Arusha Bw. Abdulkarimu Jonjo akiugulia maumivu katika wodi ya majeruhi ,katika hospitali ya mkoa mount Meru baada ya kulipuliwa na bomu la kutupwa na mkono akiwa amelala usingizini nyumbani kwake na watu wasiofahamika majira ya saa 6.30 usiku wa kuamkia leo. Picha na Josefu Ngilisho.
Picha na Michuzi Blog