Sijapata jibu bado, alikuwa amelala usiku wa manane akiwa kafungua mlango au dirisha? Alikuwa na bomu hilo kwake amelitunza? Sijapata jibu!
Huhitaji kuwa forensic scientist kugundua kuwa bomu hilo lilimripukia wakati amelishika mkononi (mkono wa kulia) huku akiliangalia?/akilichunguza?/akilishangaa?/ kwa makini (karibu na macho yake)/ akilitega/akilitegua??. Ndio maana epicentre ya madhara aliyoyapata ni kwenye kidevu na vidole vya mkono wa kulia. Vyenginevyo ramani ya madhara ingekuwa tofauti.
Uzuri ni wenyewe kwa wenyewe, Mungu amesikia kilio na maombi ya wakristo sasa amejibu kwa kuwavuruga wasielewane.
angalia mkono wa kulia uliofungwa bandeji inaonekana alikuwa amelishika bomu huyu jamaa na wakati akiliangalia likamlipukia.....halikuwa na madhara makubwa vinginevyo angekuwa vipande......bado kuna maswali anatakiwa kujibu sijui kama wana bongo ina wataalamu wa forensic....kuhusu hili ni rahisi kulichunguza maana linajieleza
Huhitaji kuwa forensic scientist kugundua kuwa bomu hilo lilimripukia wakati amelishika mkononi (mkono wa kulia) huku akiliangalia?/akilichunguza?/akilishangaa?/ kwa makini (karibu na macho yake)/ akilitega/akilitegua??. Ndio maana epicentre ya madhara aliyoyapata ni kwenye kidevu na vidole vya mkono wa kulia. Vyenginevyo ramani ya madhara ingekuwa tofauti.
Yani wewe usha conclude kuwa tukio hili ni lakidini halafu unalifurahia !!!
Ndio mnavyofundishwa na wachungaji wenu ?
Subiri na sisi tushehereke mlivyo mtumbua mwenzenu kule iringa...
Si ndio mnavyotaka ?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mijitu mengine sijui mmetoka sayari gani
Huhitaji kuwa forensic scientist kugundua kuwa bomu hilo lilimripukia wakati amelishika mkononi (mkono wa kulia) huku akiliangalia?/akilichunguza?/akilishangaa?/ kwa makini (karibu na macho yake)/ akilitega/akilitegua??. Ndio maana epicentre ya madhara aliyoyapata ni kwenye kidevu na vidole vya mkono wa kulia. Vyenginevyo ramani ya madhara ingekuwa tofauti.
Ushauri kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama: Ongezeni doria katika mipaka yetu ili kuzuia uingiaji wa silaha ndogo ndogo nchini vinginevyo tutakuwa kama palestina au afuganistan!
Nilitegemea kuona ule utepe wa manjano lakini dah...kibongobongo hata polisi na wenyewe wanakuwa wanashangaashangaa tu...Polisi wa bongo bana. Yaani hapo pangetakiwa kufungwa kabisa na kufanyiwa uchunguzi lakini wao ndiyo kwanza wamepazonga na kushikilia maganda ya "bomu" kwa mikono mitupu.
Najiuliza tu, wanaupimaje huo msimamo wa wastani? Urefu wa sarawili na madera unahusika?