Tumeijuwa nyumba ya kifahari ya Mama Rwakatare!
Toa ulichonacho ndugu, bwana anakuona mpaka moyono mwako!!!!
ngekewa , bora kibanda chako kina thamani kwako kuliko nyumba ya jirani isiyo na thamani kwako
Hili ndo limepitiwa na mkono wa sheria?
Sio hiyo ndugu ni nyumba nyingine kabisa alijenga kwenye sehemu yenye mgogoro aliuziwa mbuzi kwenye gunia wapambe nuksi.