Picha kalenga: CHADEMA yazidi kuipoteza CCM

Picha kalenga: CHADEMA yazidi kuipoteza CCM

Miaka 50 tangu waongoze toka Tegeta kwenda kariakoo masaa matatu!!, bora watanzania waanze kuangalia uongozi mpya make huu wa rumumba umeshindwa kuongoza nchi wako wanasambaza madawa ya kulevya na meno ya tembo.

Yap wanakalenga fungua uwanja wa mabadiriko ya nchi
 
Mh! Pamoja na hayo mpaka nione wameshinda ndio nitaamini ila kwa hizi kampeni bado. Hawa watu ni wauaji wa kimyakimya.
 
Ccm wamechoka hadi kuteua wagombea wanaofaa..ndo mana wamerahisisha kumrithisha mtoto kalenga ngoja chadema tuteme mate tumchape..
Tusubiri na huyo zombi atakayeteuliwa kugombea bunge la katiba kupitia ccccccmmm
 
Mh. Mgimwa kajibu Propaganda zenu kwa hoja leo mnasema ana lia lia kwenye Media Uongo wenu umesambaratishwa kwa hoja sio matusi? Tarehe 28th February,Naibu Katibu Mkuu, Mpambanaji na Gwiji la Siasa hapa Nchini Ndg Mwigulu Lameck Nchemba Mtetezi wa Wanyonge aliezamisha Kamati ya Kina Mbowe ya kudai nyongeza za Posho anakuja kuleta Zilzala katika Mji na Viunga vya Mkoa wa Iringa kuzindua kampeni za Mbunge Mteule. Kazi ya CCM ni kuteua Mbunge Mteule, Yenu ni kuteua Mshiriki wa Uchaguzi. Endeleeni kuishi kwa Matumaini ila Lazima Mshughulikiwe kikamilifu kwenye Sanduku la Kura.
HUYU MKUU sentesi zake mwisho zinanitisha . Kumbe huwa wanawashughulikia watu kwenye sanduku la kura !!!? Kumbe ni kweli hawa jamaa ni wezi wa kura. !!! afadhari wamekili.
 
HUYU MKUU sentesi zake mwisho zinanitisha . Kumbe huwa wanawashughulikia watu kwenye sanduku la kura !!!? Kumbe ni kweli hawa jamaa ni wezi wa kura. !!! afadhari wamekili.

Ukitaka kujua maana ya kushughulikiwa uliza maana yaCCM 24- CDM 3, na Tume huru inakuja mkose kisingizio, Hata Mbowe 2005 aliungana na kina Lipumba kusema aliibiwa kura na Dkt Kikwete aliezoa 82% ya kura zote, japo miaka 7 baadae anasema aligombea kipindi kile (2005) ili chama kisife ( Sio kushinda).Miaka 7 baadae watakwambia waligombea Kalenga2014 ili kuimarisha Chama nyanda za juu kusini.
 
Ccm wamechoka hadi kuteua wagombea wanaofaa..ndo mana wamerahisisha kumrithisha mtoto kalenga ngoja chadema tuteme mate tumchape..
Tusubiri na huyo zombi atakayeteuliwa kugombea bunge la katiba kupitia ccccccmmm

Bora huyo Mgimwa anagombea,

Tundu Lissu kampa Dadake Viti maalum, Ndesamburo kampa Bintiye Viti maalum, Slaa kampa Mzazi mwenzie Rose Kamili Viti maalu, Mtei kampa Mkwewe Mbowe Uenyekitiwa Taifa wa Chama kwa kuwa mgombea asie na mshindani. Leo unajadili ya Mgimwa anaegombea unaacha kujadili Viti vya ubunge wa Viti maalum vilivyogawiwa kama Kupuni ya Lunch kwa wana Familia.
 
Huyu mama alikuwa anajiheshimu lakini CHADEMA wameanza kumvalisha masuruali na kumzungusha huku na huku kama mdoli, kwa maslahi yao binafsi.
 
Mh. Mgimwa kajibu Propaganda zenu kwa hoja leo mnasema ana lia lia kwenye Media Uongo wenu umesambaratishwa kwa hoja sio matusi? Tarehe 28th February,Naibu Katibu Mkuu, Mpambanaji na Gwiji la Siasa hapa Nchini Ndg Mwigulu Lameck Nchemba Mtetezi wa Wanyonge aliezamisha Kamati ya Kina Mbowe ya kudai nyongeza za Posho anakuja kuleta Zilzala katika Mji na Viunga vya Mkoa wa Iringa kuzindua kampeni za Mbunge Mteule. Kazi ya CCM ni kuteua Mbunge Mteule, Yenu ni kuteua Mshiriki wa Uchaguzi. Endeleeni kuishi kwa Matumaini ila Lazima Mshughulikiwe kikamilifu kwenye Sanduku la Kura.
Atauwa wangapi kwenye kampeni hizo maana yeye ni kuua tu....
 
Tangu uzinduzi wa kampeni za chaguzi ndogo za kalenga chadema imezidi kujiimalisha huku ikiungwa mkono wazee kwa vijana, hali hiyo imefanya mgombea wa ccm ambaye hata mipaka ya jimbo lake haijui, mlowezi huyo amechanganyikiwa kabisa na kuanza kulialia kwenye media tu kuwa yeye alienda kusoma na kuoa tu huko UK..


View attachment 141726
MBUNGE WA KALENGA ANAYE SUBIRI KUAPISHWA AKISALIMIA WANA KALENGA HUYU NDIYO MTU WA WATU SIYO YULE WA KULAZIMISHA KURITHI UBUNGE ...KUDADEKI ZAKE AKARITHI NYUMBA YA BABA YAKE SIYO JIMBO
View attachment 141727


KAMPENI MANEJA KAMANDA ALPHONCE MAWAZO AKIIMBA NA KUCHEZA NA WANA KALENGA..
View attachment 141728
HUYU NDIYO ANAYE JUA SHIDA ZA WANA KALENGA SIYO HUYO MWINGEREZA...​

View attachment 141729
kamanda Grace akimsikiliza mpiga kura wake kwa makini kabisa...​
View attachment 141730
View attachment 141731
Kamanda Grace akiwashukru wapiga kura wake kwa kura..

Mkutano umejaa wapiga kura wa 2020 sio wa march 2014.
 
Huyu mama alikuwa anajiheshimu lakini CHADEMA wameanza kumvalisha masuruali na kumzungusha huku na huku kama mdoli, kwa maslahi yao binafsi.
Vipi sombetini hukuonekana kabisa au bado uko chooni...
 
Hahahahha stor zile zile za uchaguz mdogo wa madiwani,,,,,,,



Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Hivi wewe kisebengo ajuza mkuu si ulisema upo kwenye bunge la katiba sasa unapata wapi muda wa kupost upuuzi wako hapa jamvini

Kuna Mibavicha akili kama punje ya uwele, wanadhani Bunge la Katiba ni kama Sayari kiasi cha kuhitaji Techonlojia kubwa sana kutoka nje ya Sayari hiyo.
 
CCM ilishakataliwa mpaka na watoto labda kuwepo na wasanii...

Unajua muda huu Mbowe yupo bize kuhamasisha kina wenje, Tundu lissu,Mdee, Mnyika, Machemli, Natse, Lema na wajumbe wa kuteuliwa na Rais wamchague Mwana CCM nguli Ndg Samwel Sitta kuwa Spika wa BUNGE la Katiba halafu unasema CCM ilishakataliwa? Hata kama ni sumu Tikisa kwanza kabla ya kunywa/kunyweshwa.
 
Mh. Mgimwa kajibu Propaganda zenu kwa hoja leo mnasema ana lia lia kwenye Media Uongo wenu umesambaratishwa kwa hoja sio matusi? Tarehe 28th February,Naibu Katibu Mkuu, Mpambanaji na Gwiji la Siasa hapa Nchini Ndg Mwigulu Lameck Nchemba Mtetezi wa Wanyonge aliezamisha Kamati ya Kina Mbowe ya kudai nyongeza za Posho anakuja kuleta Zilzala katika Mji na Viunga vya Mkoa wa Iringa kuzindua kampeni za Mbunge Mteule. Kazi ya CCM ni kuteua Mbunge Mteule, Yenu ni kuteua Mshiriki wa Uchaguzi. Endeleeni kuishi kwa Matumaini ila Lazima Mshughulikiwe kikamilifu kwenye Sanduku la Kura.

mh mume wako akipita hapa lazima akate tama mana ulivyomsifia mwanaume mwenzie ni balaa. atajihis hana chake kabisa.. cc Juliana Shonza.
 
Last edited by a moderator:
Tangu uzinduzi wa kampeni za chaguzi ndogo za kalenga chadema imezidi kujiimalisha huku ikiungwa mkono wazee kwa vijana, hali hiyo imefanya mgombea wa ccm ambaye hata mipaka ya jimbo lake haijui, mlowezi huyo amechanganyikiwa kabisa na kuanza kulialia kwenye media tu kuwa yeye alienda kusoma na kuoa tu huko UK..


View attachment 141726
MBUNGE WA KALENGA ANAYE SUBIRI KUAPISHWA AKISALIMIA WANA KALENGA HUYU NDIYO MTU WA WATU SIYO YULE WA KULAZIMISHA KURITHI UBUNGE ...KUDADEKI ZAKE AKARITHI NYUMBA YA BABA YAKE SIYO JIMBO
View attachment 141727


KAMPENI MANEJA KAMANDA ALPHONCE MAWAZO AKIIMBA NA KUCHEZA NA WANA KALENGA..
View attachment 141728
HUYU NDIYO ANAYE JUA SHIDA ZA WANA KALENGA SIYO HUYO MWINGEREZA...​

View attachment 141729
kamanda Grace akimsikiliza mpiga kura wake kwa makini kabisa...​
View attachment 141730
View attachment 141731
Kamanda Grace akiwashukru wapiga kura wake kwa kura..

Naona Rais wa mioyo ya wanabavicha amesimama kwa pembeni anatafakari aibu ya March 16.
 
Tangu uzinduzi wa kampeni za chaguzi ndogo za kalenga chadema imezidi kujiimalisha huku ikiungwa mkono wazee kwa vijana, hali hiyo imefanya mgombea wa ccm ambaye hata mipaka ya jimbo lake haijui, mlowezi huyo amechanganyikiwa kabisa na kuanza kulialia kwenye media tu kuwa yeye alienda kusoma na kuoa tu huko UK..


View attachment 141726

Kamanda Grace akiwashukru wapiga kura wake kwa kura..

Hapa unaweza kuambiwa watu 200 wamejiunga na CHADEMA, na kurudisha kadi za CCM.
 
Back
Top Bottom