Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,253
Aliyevaa Tai.Je ni yupi kati ya hao wawili? 'Serious' simfahamu Ettore Bugatti
Huyo mwenye shati la mchongo na tai kama panga.Je ni yupi kati ya hao wawili? 'Serious' simfahamu Ettore Bugatti



Sijui kama atatoboa 2025.!Daah..huyo jamaa ni faller sana.
Kwakua sasahivi kamba yake ndefu ndio anajiona amefika.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wivu wa kijinga
Ni msukuma wa Shinyanga kazaliwa Kijiji kinaitwa kolandoto,ndo alipoungulia hayo meno yake baba yake alikuwa clinical officer hapo kolandoto hosp kabla ya kuhamishiwa mkula hospital ya mission iliyoko Baridi.Kwani ni raia wa wapi kwa asili? Sio Msukuma wa Shinyanga kweli huyu?
Ndiyo maana Chadema si wakuaminika