Kukaa madarakani kwa nguvu, ndiyo iwe "lugha ya wazi na kueleweka"? Nilijuwa akili yako imeharibiwa na utapeli ulio wazi, lakini sikujuwa kuwa nyote mpo desperate kiasi hiki.
Sasa hapa unataka kulazimisha jambo ambalo unajuwa halitakuwepo??
Ndani ya CCM yenyewe mnakuwa na hofu kumpitisha; huku nje ndiyo muone rahisi?