PICHA inaongea mengi

Stori za vijiweni, kwa yote anayoyafanya hakuna wa kumpinga Samia.
 
Ni kweli, na karibia 45% ya Watanzania ni wajinga sana na hawajitambui kwahiyo ni kweli ushawishi jamaa anao wa kiasi kikubwa tu

Ni kweli, na karibia 45% ya Watanzania ni wajinga sana na hawajitambui kwahiyo ni kweli ushawishi jamaa anao wa kiasi kikubwa tu
Bora ingekua hiyo 45%...Nchi yetu bado Sana ni Kati ya 65% na 75%! Tatizo kubwa hata wale tunaowaita Wasomi na wao wameamua kuwa wajinga otherwise ingekua 55%
 
Stori za vijiweni, kwa yote anayoyafanya hakuna wa kumpinga Samia.
Samia Suluhu Hassan atabaki madarakani kwa njia moja tu; ya kutumia nguvu, na hata pengine kumwaga damu ya waTanzania; vinginevyo hana njia nyingine. Akiingia kwenye uchaguzi HURU na HAKI ataaibika sana.
 
Samia Suluhu Hassan atabaki madarakani kwa njia moja tu; ya kutumia nguvu, na hata pengine kumwaga damu ya waTanzania; vinginevyo hana njia nyingine. Akiingia kwenye uchaguzi HURU na HAKI ataaibika sana.
Jipe moyo kaka, kila rais huwa mnasema hapendwi na hawezi kushinda kura.
 
Huyu jamaa ana ushawishi sana,mama hakwenda pale kwa bahati mbaya..
Ataishia ubunge kanisa ndio byee kwa mwamposa patakuwa pa mwakosa hesabu muda weka moyoni... project is end 😢
 
Mwenye suti light blue anacheka cheka sanA

mWanamke hata awe nani zile tabia za kike haziishi,huyu Chura kawa karibu na bulldozer ili kuwatisha kina Gwajima na katoriki wakina Kitima
Nani ,yule kunanilii wake za watu
 
Hizo ni technique. Hata TB Joshua alikuwa anazifanya sana kuwaaminisha Yuko juu na viongozi wote wakiwemo wachungaji wakubwa wenye ushawishi wako chini yake.

Anaandaa mpiga picha mapema, atatengeneza mazingira kijanja aonekekane Yuko juu, au yule Mchungaji mkubwa wa kweli anamkubali yeye alafu wanakata kashort clip na videos zinasambazwa. Baada ya hapo jamaa anajiongezea konga.

Dunia hii isipokuwa makini unaweza kutumika kimaslahi bila kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…