PICHA inaongea mengi

Samia anapotangaza ilani ni muongozo unaoongoza serikali kwa miaka mitano inayofuatia, inagusa maisha mazima ya mtanzania.

Kila kona inaguswa na huko mikoani sekta zote zinaguswa. Hakuna sababu ya kuiba kura ikiwa umeme umeshafikishwa kwa asilimia 90.

Hakuna sababu ya kuiba kura ikiwa maji yanaendelea kusambazwa nchi nzima.

Hakuna sababu ya kuiba kura ikiwa sekta ya anga inaendelea kuifungua nchi nzima.

Kelele za wizi wa kura zinatoka kwa wanaharakati kama kalamu aliyepo JF, Huko mikoani yanapotatuliwa matatizo ya msingi hakuna mtu mwenye muda wa kujadili marekebisho ya kanuni ikiwa yenye kuwahusu yanapata utatuzi wa kudumu.
 
Uongo Leo,
 
Mwenye suti light blue anacheka cheka sanA

mWanamke hata awe nani zile tabia za kike haziishi,huyu Chura kawa karibu na bulldozer ili kuwatisha kina Gwajima na katoriki wakina Kitima
Hapo uanamke wake unahusikaje?
Mbona Yuko karibu na yule wa KKKT?

Kwani lazima awe karibu na RC?
 
Hata zikiwa huru kiasi gani, huwezi kushindana na rais anayekuwepo ikulu ambaye mwaka mzima kwa vitendo anatekeleza ilani inayomuweka madarakani.
Ndiyo maana ni lazima tumuondoe kwa nguvu sasa; kwa sababu GENGE lenu mnalazimisha abaki kwa nguvu.
Kwa hiyo usidanganye waTanzania wanamweka hao kwa kura zao za HAKI.
Ni halali yetu kumwondoa, kwa sababu hana ridhaa ya wananchi.
 
watakwambia wote hao ni teeth...
 
Ndiyo maana ni lazima tumuondoe kwa nguvu sasa; kwa sababu GENGE lenu mnalazimisha abaki kwa nguvu.
Kwa hiyo usidanganye waTanzania wanamweka hao kwa kura zao za HAKI.
Ni halali yetu kumwondoa, kwa sababu hana ridhaa ya wananchi.
Subiri October ndipo utagundua kuwa kundi lenu lina watu wachache wanaoishia kupiga makelele instagram na humu JF.

Subiri October utapata majibu kwa lugha ya wazi na yenye kueleweka.
 
kama hayo usemayo inkwell, halali nchi hii iwe na utapiamlo kiuchumi
 
Nimedundua mwamposa uboo umedinda mbele ya serikali
 
Subiri October ndipo utagundua kuwa kundi lenu lina watu wachache wanaoishia kupiga makelele instagram na humu JF.

Subiri October utapata majibu kwa lugha ya wazi na yenye kueleweka.
Kukaa madarakani kwa nguvu, ndiyo iwe "lugha ya wazi na kueleweka"? Nilijuwa akili yako imeharibiwa na utapeli ulio wazi, lakini sikujuwa kuwa nyote mpo desperate kiasi hiki.

Sasa hapa unataka kulazimisha jambo ambalo unajuwa halitakuwepo??

Ndani ya CCM yenyewe mnakuwa na hofu kumpitisha; huku nje ndiyo muone rahisi?
 
Mwamba ni mshirikina haswa, anatokea Songwe kwa kina Lucas Mwashambwa kule kumejaa matapeli tupu na mashirikina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…