Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 8,787
- 5,537
Samia anapotangaza ilani ni muongozo unaoongoza serikali kwa miaka mitano inayofuatia, inagusa maisha mazima ya mtanzania.Muda unaousubiri ni wa kuiba uchaguzi ili Samia na GENGE lenu libaki madarakani bila ridhaa ya wananchi.
Kama unataka "muda uongee", kubalini marekebisho ya kanuni za uchaguzi. Samia akichaguliwa kwa taratibu hizo, mimi nitakuwa mstari wa mbele kabisa kumongeza.
Kila kona inaguswa na huko mikoani sekta zote zinaguswa. Hakuna sababu ya kuiba kura ikiwa umeme umeshafikishwa kwa asilimia 90.
Hakuna sababu ya kuiba kura ikiwa maji yanaendelea kusambazwa nchi nzima.
Hakuna sababu ya kuiba kura ikiwa sekta ya anga inaendelea kuifungua nchi nzima.
Kelele za wizi wa kura zinatoka kwa wanaharakati kama kalamu aliyepo JF, Huko mikoani yanapotatuliwa matatizo ya msingi hakuna mtu mwenye muda wa kujadili marekebisho ya kanuni ikiwa yenye kuwahusu yanapata utatuzi wa kudumu.