Picha inaongea Makonda vs Sianga .

Picha inaongea Makonda vs Sianga .

Hivi RC hana Personal secretary? mbona taarifa zake na majina na hilo faili zimekaa hovyo hovyo kama faili la Mwenyekiti wa VICCOBA!
Au amemrithi Personal Secretary wa Marehem Ditopile?
Hapana hajampa ps wake maana angevujisha taarifa,amejiandikia na kufunga bahasha mwenyewe ili msitajwe mkakimbia!
 
makonda anajikaanga mwenyewe, Huyo jamaa sianga ametoka usalama, ana taarifa zake zote, ndio maana hapo kwenye picha wala hana pressure na anaonyesha sura ya kupotezea. nijuavyo hayo majina hawezi kuyafanyia kazi ,
 
Haya yote yamesababishwa na Mama Ndalichako na matokeo take ya form four. Navyomjua makonda atakuja na kupambana na majangili ndan ya mkoa wake was dar
Majangili Dar wanajangilia vitu gani pale?
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Hivi RC hana Personal secretary? mbona taarifa zake na majina na hilo faili zimekaa hovyo hovyo kama faili la Mwenyekiti wa VICCOBA!
Au amemrithi Personal Secretary wa Marehem Ditopile?
One man work.
 
Jamaa anajua kabisa File lipo empty, sasa Dogo yupo serious utadhan ni kweli ndo maana jamaa anacheka.
Du umeniacha hoi ni kweli kwa majjitu yanayopenda sifa hayakawii kukabidhi file tupu. Sasa Makonda arudi kwenye hoja ya matokeo ya Form Four kazi ya madawa ya kulevya sio yake.
 
Ameshawathibitisha kuwa hao ni wauza wakubwa au ni watuhumiwa tu. Maana hiyo heading ya kwenye file as if tayari wameshakuwa confirmed na mahakama imethibitsha kuwa kweli wanahatia na ni wauzaji wakubwa wa hizo poda.

god wa DSM punguza mbwembwe.
 
FB_IMG_1487011663589.jpg

MAJINA YA WAUZAJI MADAWA YA KULEVYA WAKUBWA.

---------

Hivi ni nani huwa anaandika hizi list za MAKONDA? Huyu aliyeandika hapo juu ya hilo faili alifika la saba kweli?

Kama ni Makonda mwenyewe basi inatakiwa arudi shuleni.
 
View attachment 470336
MAJINA YA WAUZAJI MADAWA YA KULEVYA WAKUBWA.

---------

Hivi ni nani huwa anaandika hizi list za MAKONDA? Huyu aliyeandika hapo juu ya hilo faili alifika la saba kweli?

Kama ni Makonda mwenyewe basi inatakiwa arudi shuleni.
Nadhani angendika mtu makini ingesomeka, Majina 97 ya wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya.
 
Mimi nimefurahishwa na neno WAKUBWA. Maana ya hili neno ni subjective. Looks like Sianga is more detailed na anaweza kuwa na WAKUBWA ya kwake
 
Hivi RC hana Personal secretary? mbona taarifa zake na majina na hilo faili zimekaa hovyo hovyo kama faili la Mwenyekiti wa VICCOBA!
Au amemrithi Personal Secretary wa Marehem Ditopile?
Sikuwa namfahamu vizuri huyu bwana/kijana lakini baada ya kufuatilia mambo yake nimegundua kuwa naye anatamani sana kuwa kwenye kundi moja na watu kama ZZK, JJM, Sugu, Silinde nk ambao wanaangukia kwenye kundi la viongozi vijana! Ni ngumu kuwafikia hao maana upstairs wako vizuri sana.
Kwa hiyo hata anapopata airtime anajitahidi kuongea kwa ukali fulani kama wanavyofanyaga hawa wengine lakini anachosahau kuwa Watz wa leo wanajua kung'amua 'madini' aka points kwanye unachoongea hata uongee kwa sauti kubwa kiasi gani. Kwa hiyo hata ukiwatisha watu kuwa utawahamisha Dsm usidhani watatishika sana bali watatafiti na kujua kuwa aliyepeleka hoja binafsi bungeni juu ya madawa ya kulevya ni Mh. Bulaya Esther na Dr. Ndugulile na baadae ikawa sheria.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom