Picha inaongea Makonda vs Sianga .

Picha inaongea Makonda vs Sianga .

View attachment 470336
MAJINA YA WAUZAJI MADAWA YA KULEVYA WAKUBWA.

---------

Hivi ni nani huwa anaandika hizi list za MAKONDA? Huyu aliyeandika hapo juu ya hilo faili alifika la saba kweli?

Kama ni Makonda mwenyewe basi inatakiwa arudi shuleni.
Yeah hata ile orodha yake ya kwanza ilikuwa na mapungufu. Baadhi ya Majina yaliandikwa mojamoja na hayakuwa na anwani kamili. Sisi waswahili tuna Majina ya kufanafanana. Si ajabu hili ndo limechangia mwitikio wa kuripoti polisi kuwa mdogo
 
Natamani kuona presentation ya research alizokua anafanya huyu bwana wakati akiwa MUCCOB's, kama ndo hivyo vyuo vikuu vyetu vinafundisha presentation za namna hiyo basi kuna haja ya kuvibadili hivyo vyuo kuwa shule za msingi. Tuanze na hii shule ya msingi USHIRIKA MOSHI.
 
Du umeniacha hoi ni kweli kwa majjitu yanayopenda sifa hayakawii kukabidhi file tupu. Sasa Makonda arudi kwenye hoja ya matokeo ya Form Four kazi ya madawa ya kulevya sio yake.
Wewe jiulize. Kwa nini aliamua kumkabidhi mbele ya camera? Kwa nini mpaka aliandika kwenye file? Hapo ndo ujue umri wake alitakiwa awe chuoni bado, mambo yake ni ya wanafunzi wanaochipukia.
 
Hivi RC hana Personal secretary? mbona taarifa zake na majina na hilo faili zimekaa hovyo hovyo kama faili la Mwenyekiti wa VICCOBA!
Au amemrithi Personal Secretary wa Marehem Ditopile?
...kama angempa secretary hayo majina ayachape si angevujisha siri...
 
Jamani hivi wakati Fulani kuna jamaa nimemsahau alikuja na senema ya walimu kupanda daladala bure. Iliishia wapi vile?
 
au m
Hivi RC hana Personal secretary? mbona taarifa zake na majina na hilo faili zimekaa hovyo hovyo kama faili la Mwenyekiti wa VICCOBA!
Au amemrithi Personal Secretary wa Marehem Ditopile?
au mweyekiti wa ccm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom