huyo mzee hose mujica aliwahi kuwa president wa uruguay march 1, 2010 march 1, 2015 alipoangushwa kwenye kura, sasa hivi, kuanzia 1 march 2015 rais wa uruguay ni huyu:
kwa jina anaitwa tabara vazquez ambae pia aliwahi kuwa rais kati ya mwaka 2005 - 2010